AlShabab yaua mama kutofunga niqabu
Taarifa kutoka Somalia zinasema mwanamke mmoja katika eneo la kusini mwa nchi hiyo ameuawa kwa kupigwa risasi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Alshabab yaua watu 10 hotelini Somalia
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Serikali yaombwa kutofunga misikiti Kenya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRnDYYuZJ-xsAtNpYO7pHkDnOZn-9uiu840QG2nzNrxogUV6I6h2SenT8WCOsNlob-xr2zmRSbmgHBo2hFhMxodp/PINDA.jpg)
PINDA AMVAA DUDE, KISA KUTOFUNGA NDOA
11 years ago
CloudsFM29 May
VICK KAMATA AUGUA GHAFLA, KUTOFUNGA NDOA KESHO
ile ndoa ya Mh.Vick Kamata na mchumba wake wa siku nyingi aitwaye Charles iko ambayo ilitarajiwa kufungwa kesho imeshindikana baada ya Mheshimiwa huyo kuugua ghafla jana usiku na kukimbizwa hospitalini.
Kwa mujibu wa Daktari wake ambaye amezungumza na Clouds fm alisema kuwa Vick Kamata alipelekwa katika hospitali hiyo akiwa katika hali isiyoridhisha kwani alikuwa akitapika na kwamba ujauzito wake ulikuwa ukiashiria kutoka hali ilimfanya alazwe katika hospitali hiyo iliyopo maeneo ya...
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Alshabab lawaachilia wanajeshi 2 wa Kenya
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Alshabab wanasajili wapiganaji Nairobi
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Kenya yaanzisha operesheni kuzima Alshabab
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Waislamu waokoa wakristo waliotekwa na Alshabab
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YQXsJw9_EpU/Xrw4xdrdyzI/AAAAAAAEHAA/T5C5NcJFbi4OyksNRJPuSoHzRXIqbt7JgCLcBGAsYHQ/s72-c/kabudi.jpg)
WAZIRI PROFESA KABUDI ASOMA BUNGENI BARUA YA ZAMBIA INAYOELEZEA KUTOFUNGA MPAKA WAKE NA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YQXsJw9_EpU/Xrw4xdrdyzI/AAAAAAAEHAA/T5C5NcJFbi4OyksNRJPuSoHzRXIqbt7JgCLcBGAsYHQ/s400/kabudi.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ameweka hadharani barua ya Waziri wa Mambo ya Nje nchini Zambia inayoeleza kwamba mipaka baina ya nchi hizo mbili haijafungwa.
Akizungumza leo Mei 13,mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma , Profesa Kabudi ametumia nafasi hiyo kueleza kwa kina kuwa Zambia haijafunga mpaka na Tanzania.
" Nataka niwaambie Zambia haijafunga mpaka na Tanzania, narudia tena Zambia haijafunga mpaka na Tanzania...