Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alshabab yaua watu 10 hotelini Somalia

Wapiganaji wa kundi la wanamgambo wa Al Shabaab wameshambulia mkahawa mmoja mjini Mogadishu na kua watu 10

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

AlShabab yaua mama kutofunga niqabu

Taarifa kutoka Somalia zinasema mwanamke mmoja katika eneo la kusini mwa nchi hiyo ameuawa kwa kupigwa risasi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je mapigano ya Jubaland na serikali ya Somalia yanaweza kuwaingiza zaidi Alshabab Kenya?

Hali ya utulivu imerejea katika eneo la Mandera kaskazini mwa Kenya baada ya mapigano makali yaliyotokea Jumatatu kati ya wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa eneo la Jubaland.

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi yaua polisi hotelini

ASKARI Polisi, Mohamed Mjomba (44) amepoteza maisha baada ya kushambuliwa na majambazi, waliovamia Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Uroa Wilaya ya Kati Unguja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makabiliano Hotelini Somalia yamalizika

Serikali ya Somalia imesema mapigano yaliokuwa kwenye hoteli moja mjini Mogadishu kufuatia uvamizi wa Al shabaab yamemalizika.

 

10 years ago

Michuzi

TUNISIA: WATU 37 WAMEUAWA HOTELINI

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa watu 37. Maafisa wa serikali ya Tunisia wamesema kuwa mmoja wa washambuliaji hao aliuawa kwa kupigwa risasi na maafisa wa ulinzi na kuwa waliosalia bado wanasakwa na polisi. Shambulio hilo lilitokea katika mji wa Sousse, ambao huwavutia maelfu ya watalii kutoka bara Ulaya na Afrika ya Kaskazini. Hili lilikuwa shambulizi la pili dhidi ya hoteli ya watalii nchini Tunisia katika kipindi cha miezi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 27 wameuawa hotelini Tunisia

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa takriban watu 27

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa Somalia

Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki

 

11 years ago

BBCSwahili

Ajali yaua watu 17 Tanzania

Watu 17 wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea mkoa wa Dodoma katikati mwa Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yaua watu 15 DRC

Watu kumi na tano wamekufa katika kijiji cha Kimino huko Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani