Alshabab lawaachilia wanajeshi 2 wa Kenya
Polisi nchini Kenya wanasema kuwa maafisa wawili wa jeshi la Kenya waliotekwa na wanamgambo ya AL Shabaab yapata miaka miwili iliyopita wameachiliwa huru.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Kenya yaanzisha operesheni kuzima Alshabab
Maafisa wa Usalama wa Kenya wameanzisha opereshni kali katika msitu wa Boni ulioko Lamu kuvunja kambi ya washirika wa Al shabaab
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Je mapigano ya Jubaland na serikali ya Somalia yanaweza kuwaingiza zaidi Alshabab Kenya?
Hali ya utulivu imerejea katika eneo la Mandera kaskazini mwa Kenya baada ya mapigano makali yaliyotokea Jumatatu kati ya wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa eneo la Jubaland.
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
Boko Haram lawaachilia mateka 27
Rais wa Cameroon amesema kuwa mateka 27 wakiwemo raia 10 wa Uchina wameachiliwa na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Wanajeshi wa Kenya kusalia Somalia
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekariri kuwa wanajeshi wa Kenya watasalia nchini Somalia, kupambana na wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabaab
11 years ago
BBCSwahili26 May
Wanajeshi wa Kenya wauawa na Al Shabaab
Ripoti zinasema msafara wa wanajeshi wa Kenya ulikuwa ukielekea eneo la Ras Kamboni wakati shambulio hilo lilipotokea.
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Wanajeshi wa Scotland mazoezini Kenya
Je Kenya itaruhusu kuendelea kwa kambi za mazoezi za jeshi la Uingereza katika ardhi yake ? Tazama picha hizi
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Uhuru Kenyatta anasema hatua ya wanajeshi wa Somalia kuingia Kenya ni kitendo cha uchokozi
Uhuru amesema kwamba taifa la Somalia linapaswa kuangazia maswala ya raia wake kwa kukabiliana na kuushinda ugaidi ili kuweka amani,
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Alshabab wanasajili wapiganaji Nairobi
Kenya kwa wakati huu inakabiliana na changamoto mpya ya usalama katika vita dhidi ya ugaidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania