Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alshabab lawaachilia wanajeshi 2 wa Kenya

Polisi nchini Kenya wanasema kuwa maafisa wawili wa jeshi la Kenya waliotekwa na wanamgambo ya AL Shabaab yapata miaka miwili iliyopita wameachiliwa huru.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yaanzisha operesheni kuzima Alshabab

Maafisa wa Usalama wa Kenya wameanzisha opereshni kali katika msitu wa Boni ulioko Lamu kuvunja kambi ya washirika wa Al shabaab

 

5 years ago

BBCSwahili

Je mapigano ya Jubaland na serikali ya Somalia yanaweza kuwaingiza zaidi Alshabab Kenya?

Hali ya utulivu imerejea katika eneo la Mandera kaskazini mwa Kenya baada ya mapigano makali yaliyotokea Jumatatu kati ya wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa eneo la Jubaland.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaachilia mateka 27

Rais wa Cameroon amesema kuwa mateka 27 wakiwemo raia 10 wa Uchina wameachiliwa na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Kenya kusalia Somalia

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekariri kuwa wanajeshi wa Kenya watasalia nchini Somalia, kupambana na wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabaab

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Kenya wauawa na Al Shabaab

Ripoti zinasema msafara wa wanajeshi wa Kenya ulikuwa ukielekea eneo la Ras Kamboni wakati shambulio hilo lilipotokea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Scotland mazoezini Kenya

Je Kenya itaruhusu kuendelea kwa kambi za mazoezi za jeshi la Uingereza katika ardhi yake ? Tazama picha hizi

 

5 years ago

BBCSwahili

Uhuru Kenyatta anasema hatua ya wanajeshi wa Somalia kuingia Kenya ni kitendo cha uchokozi

Uhuru amesema kwamba taifa la Somalia linapaswa kuangazia maswala ya raia wake kwa kukabiliana na kuushinda ugaidi ili kuweka amani,

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabab wanasajili wapiganaji Nairobi

Kenya kwa wakati huu inakabiliana na changamoto mpya ya usalama katika vita dhidi ya ugaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani