Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alshabab wanasajili wapiganaji Nairobi

Kenya kwa wakati huu inakabiliana na changamoto mpya ya usalama katika vita dhidi ya ugaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Alshabab lawaachilia wanajeshi 2 wa Kenya

Polisi nchini Kenya wanasema kuwa maafisa wawili wa jeshi la Kenya waliotekwa na wanamgambo ya AL Shabaab yapata miaka miwili iliyopita wameachiliwa huru.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabab yaua watu 10 hotelini Somalia

Wapiganaji wa kundi la wanamgambo wa Al Shabaab wameshambulia mkahawa mmoja mjini Mogadishu na kua watu 10

 

9 years ago

BBCSwahili

Waislamu waokoa wakristo waliotekwa na Alshabab

Abiria wa kiislamu waliwalinda wenzao wakristo kwa kukataa kugawanywa kwa makundi basi lao lilipotekwa na wapiganaji wa Al shaabab

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yaanzisha operesheni kuzima Alshabab

Maafisa wa Usalama wa Kenya wameanzisha opereshni kali katika msitu wa Boni ulioko Lamu kuvunja kambi ya washirika wa Al shabaab

 

11 years ago

BBCSwahili

AlShabab yaua mama kutofunga niqabu

Taarifa kutoka Somalia zinasema mwanamke mmoja katika eneo la kusini mwa nchi hiyo ameuawa kwa kupigwa risasi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je mapigano ya Jubaland na serikali ya Somalia yanaweza kuwaingiza zaidi Alshabab Kenya?

Hali ya utulivu imerejea katika eneo la Mandera kaskazini mwa Kenya baada ya mapigano makali yaliyotokea Jumatatu kati ya wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa eneo la Jubaland.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Wanoafadhil wapiganaji mashakani

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa pamoja limeamua kuwawekea vikwazo watu wanaowafadhili wapiganaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 27 wauawa Misri

Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS waelekea Baghdad

Wapiganaji wa kundi la Islamic State wanaimarisha maeneo waliyoyateka nchini Syria na Iraq.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani