Singida waokoa Sh60 milioni za sherehe
Uongozi wa Mkoa wa Singida umefuta matumizi ya zaidi ya Sh60 milioni kwa ajili ya kugharamia sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa huo tangu kuanzishwe kwake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Dec
Takukuru Tabora waokoa milioni 107/-
JUMLA ya Sh milioni 107, zimeokolewa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Tabora, ambazo zilikuwa zitumike katika manunuzi hewa kwenye ofisi mbali mbali za Serikali.
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
SEMA Singida kutumia Milioni 80 kuwapiga msasa waratibu wa elimu mikoa ya Singida na Dodoma
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za maji, elimu na usafi wa mazingira shuleni yaliyohudhuriwa na waratibu kata na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida. Kulia ni Meneja wa SEMA, Ivo Manyanku na Kushoto ni mwenyekiti wa mafunzo hayo.
Baadhi ya waratibu na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida,waliohudhuria mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ANOGESHA SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rzIMkL9afNE/XmecOc4QdrI/AAAAAAAAkWg/jFH14QGfsWE1WhB2KYhH5g9nJaq12IMVACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsiRkJGy4P0/XmecN3FonjI/AAAAAAAAkWc/kc0LkeyxgOYhLQH9MRGMf2jFB_YPnAUBQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF1sdgCUDWQ/XmecPceiyUI/AAAAAAAAkWk/v3adMMTx04Yv9mJW_H6F1cJsqVQbe784wCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ezdHfyrce4/XmecPhxxKhI/AAAAAAAAkWo/nKadHWK4P3gUAV1tGS11twIp9ormQpBSwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE AGEUKA KIVUTIO SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rzIMkL9afNE/XmecOc4QdrI/AAAAAAAAkWg/jFH14QGfsWE1WhB2KYhH5g9nJaq12IMVACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsiRkJGy4P0/XmecN3FonjI/AAAAAAAAkWc/kc0LkeyxgOYhLQH9MRGMf2jFB_YPnAUBQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF1sdgCUDWQ/XmecPceiyUI/AAAAAAAAkWk/v3adMMTx04Yv9mJW_H6F1cJsqVQbe784wCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ezdHfyrce4/XmecPhxxKhI/AAAAAAAAkWo/nKadHWK4P3gUAV1tGS11twIp9ormQpBSwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 May
Sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi) mkoa wa Singida zafana
Mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Halima Mpita (wa kwanza kushoto akishirikiana na viongozi wa ngazi mbali mbali mkaoni Singida, kuimba wimbo wa mshikamano kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi duniani (mei mosi) zilizofanyika jana kwenye uwanja wa Namfua mjini hapa.
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Amanzi (wa pili kushoto) akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi duniani (mei mosi) zilizofanyika jana...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Ujenzi wa Zahanati kugharimu 384 Milioni Singida
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015. (Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
Halmashauri ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia zaidi ya shilingi 384.4 milioni, kugharamia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015.
Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Joseph Mchina, alisema...
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
TASAF yatoa sh. 17.5 milioni kwa tarafa ya Unyakumi Singida
Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mungung’una tarafa ya Umyakumi manispaa ya Singida, wakipokea fedha kutoka TASAF ambazo zinatolewa na mpango wa kunusuru kaya maskini.
Wakazi 512 wa mtaa wa Munung’una kata ya Minga tarafa ya Unyakumi manispaa ya Singida, ambao wametambulika kwenye kaya maskini, wamenufaika kwa kupewa na TASAF manispaa zaidi ya shilingi 17.5 milioni zikiwa ni katika mpango wa kunusuru kaya maskini.
Msaada huo kutoka serikalini,kima cha chini kilikuwa shilingi 20,000 na cha juu...
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba
![IMG_1426](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1426.jpg)
![IMG_1439](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1439.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAOKOA SH. MILIONI 46,500,000 ZA WALIMU WASTAAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kushoto) akimkabidhi Sh. 24,000,000/= Mwalimu Seleman Tyea Mwangu zilizookolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida.