Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Singida waokoa Sh60 milioni za sherehe

Uongozi wa Mkoa wa Singida umefuta matumizi ya zaidi ya Sh60 milioni kwa ajili ya kugharamia sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa huo tangu kuanzishwe kwake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Takukuru Tabora waokoa milioni 107/-

JUMLA ya Sh milioni 107, zimeokolewa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Tabora, ambazo zilikuwa zitumike katika manunuzi hewa kwenye ofisi mbali mbali za Serikali.

 

10 years ago

Dewji Blog

SEMA Singida kutumia Milioni 80 kuwapiga msasa waratibu wa elimu mikoa ya Singida na Dodoma

DSC04523

Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za maji, elimu na usafi wa mazingira shuleni yaliyohudhuriwa na waratibu kata na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida. Kulia ni Meneja wa SEMA, Ivo  Manyanku na Kushoto ni mwenyekiti wa mafunzo hayo.

DSC04526

Baadhi ya waratibu na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida,waliohudhuria  mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ANOGESHA SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA

 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, akitoa zawadi na michango mbalimbali kwa wasichana wa Shule ya Sekondari Mwankoko Manispaa ya Singida. Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe akitekeleza moja ya majukumu yake kama mgeni rasmi, kwenye sherehe za siku ya wanawake mkoani hapa.Mhe. Mattembe, akifurahi pamoja na makundi mbalimbali ya wanafunzi. -Maandamano ya Wanawake wa Manispaa ya Singida kwenye sherehe ya siku ya wanawake. Mbunge wa Viti...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE AGEUKA KIVUTIO SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA

 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, akitoa zawadi na michango mbalimbali kwa wasichana wa Shule ya Sekondari Mwankoko Manispaa ya Singida. Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe akitekeleza moja ya majukumu yake kama mgeni rasmi, kwenye sherehe za siku ya wanawake mkoani hapa.Mhe. Mattembe, akifurahi pamoja na makundi mbalimbali ya wanafunzi. -Maandamano ya Wanawake wa Manispaa ya Singida kwenye sherehe ya siku ya wanawake. Mbunge wa Viti...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi) mkoa wa Singida zafana

DSC05562

Mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Halima Mpita (wa kwanza kushoto akishirikiana na viongozi wa ngazi mbali mbali mkaoni Singida, kuimba wimbo wa mshikamano kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi duniani (mei mosi) zilizofanyika jana kwenye uwanja wa Namfua mjini hapa.

DSC05561

Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Amanzi (wa pili kushoto) akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi duniani (mei mosi) zilizofanyika jana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujenzi wa Zahanati kugharimu 384 Milioni Singida

MANISPAA

Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015. (Picha na Maktaba).

Na Nathaniel Limu, Singida

Halmashauri  ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia zaidi ya shilingi 384.4 milioni, kugharamia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mtisi kata ya Mtamaa,inayokadiriwa kukamilika katika mwaka wa fedha wa 2014/2015.

Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Joseph Mchina, alisema...

 

10 years ago

Dewji Blog

TASAF yatoa sh. 17.5 milioni kwa tarafa ya Unyakumi Singida

DSC04785

Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mungung’una tarafa ya Umyakumi manispaa ya Singida, wakipokea fedha kutoka TASAF ambazo zinatolewa na mpango wa kunusuru kaya maskini. 

Wakazi 512 wa mtaa wa Munung’una kata ya Minga tarafa ya Unyakumi manispaa ya Singida, ambao wametambulika kwenye kaya maskini, wamenufaika kwa kupewa na TASAF manispaa  zaidi ya shilingi 17.5 milioni zikiwa ni katika mpango wa kunusuru kaya maskini.

Msaada huo kutoka serikalini,kima cha chini kilikuwa shilingi 20,000 na cha juu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba

IMG_1422

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kubadilisha matumizi ya zaidi ya shilingi 60.6 milioni zilizokuwa zigharamie sherehe ya maadhimisho ya mkoa huu kutimiza miaka 50 toka uanzishwe mwaka 1963, na sasa zitatumika kununulia vifaa tiba na vitendea kazi katika hospitali mpya ya rufaa ya mkoa. IMG_1426 IMG_1439 Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani hapa, Ivo Manyaku, ameupongeza mkoa wa Singida kwa uamuzi wake wa kutumia shilingi 60.6...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAOKOA SH. MILIONI 46,500,000 ZA WALIMU WASTAAFU


Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kushoto) akimkabidhi Sh.22,500,000/= Mwalimu Loth Mwangu zilizookolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida baada ya kudhulumiwa na mkopeshaji haramu.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kushoto) akimkabidhi Sh. 24,000,000/= Mwalimu Seleman Tyea Mwangu zilizookolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida.Mwalimu Seleman Tyea Mwangu, akiwa amebeba maburungutu yake ya pesa baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani