Takukuru Tabora waokoa milioni 107/-
JUMLA ya Sh milioni 107, zimeokolewa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Tabora, ambazo zilikuwa zitumike katika manunuzi hewa kwenye ofisi mbali mbali za Serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Singida waokoa Sh60 milioni za sherehe
Uongozi wa Mkoa wa Singida umefuta matumizi ya zaidi ya Sh60 milioni kwa ajili ya kugharamia sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa huo tangu kuanzishwe kwake.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3B2vnXFUywA/XpC2DFQic_I/AAAAAAALmvI/jNSWh2NbQ0UTqFFKKbJwe7hxKfE-EVqVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200410-WA0175.jpg)
TAKUKURU YAOKOA MILIONI 7 ZILIZODHULUMIWA
Na Woinde Shizza,SIHA
Taasisi ya kuzuia na kupambana rushwa wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro imefanikiwa kurejesha fedha kiasi cha shilingi milioni saba laki tano na elfu tisini na mbili (7,592,000/= )kwa watumishi wa idara ya afya halmashauri ya siha,walinzi wa shamba la miti West Kilimanjaro na shule ya sekondari Magnifikacant na mama lishe Fatuma Athumani,zilizokuwa zimedhulumiwa na kufanyiwa ubadhirifu na watuhumiwa ambao ni mhasibu wa halmashauri na mlinzi mkuu wa shamba.
Zoezi la...
Taasisi ya kuzuia na kupambana rushwa wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro imefanikiwa kurejesha fedha kiasi cha shilingi milioni saba laki tano na elfu tisini na mbili (7,592,000/= )kwa watumishi wa idara ya afya halmashauri ya siha,walinzi wa shamba la miti West Kilimanjaro na shule ya sekondari Magnifikacant na mama lishe Fatuma Athumani,zilizokuwa zimedhulumiwa na kufanyiwa ubadhirifu na watuhumiwa ambao ni mhasibu wa halmashauri na mlinzi mkuu wa shamba.
Zoezi la...
10 years ago
VijimamboTAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAOKOA SH. MILIONI 46,500,000 ZA WALIMU WASTAAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kushoto) akimkabidhi Sh. 24,000,000/= Mwalimu Seleman Tyea Mwangu zilizookolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mDyU6A0pbsQ/XossUeR9FjI/AAAAAAALmKc/uM7WO3j4uFASfsM4kU5FIDCuYyMhst-ygCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B12.13.01%2BPM.jpeg)
TAKUKURU DODOMA YAOKOA MILIONI 297 NA KUSAIDIA KUKAMILIKA MRADI WA MAJI UTAKAOHUDUMIA WANANCHI 5000
![](https://1.bp.blogspot.com/-mDyU6A0pbsQ/XossUeR9FjI/AAAAAAALmKc/uM7WO3j4uFASfsM4kU5FIDCuYyMhst-ygCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B12.13.01%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVTAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Dodoma katika kufuatilia miradi ya maendeleo imewezesha mradi wa maji wa kijiji cha Mlongia wilayani Chemba kutoa maji na kuwafaidisha wananchi zaidi ya 5000 ambao awali hawakua na huduma ya maji.
Mradi huo...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Wanaopinga ubunge Tabora Mjini kulipia milioni 9/-
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Tabora imewataka wananchi wanne waliofungua kesi ya kupinga matokea ya uchaguzi ya ubunge katika Jimbo la Tabora Mjini, kulipia Sh milioni tisa kama dhamana ndipo shauri hilo lisikilizwe.
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA TAKUKURU SIKONGE KUMKAMATA MGANGA MFAWIDHI WA ZAHANATI YA TUTUO KWA TUHUMA ZA MALIPO KWA KAZI HEWA YA KISIMA
NA TIGANYA VINCENT
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iufBhI78XOw/Xn9C2l-Cq3I/AAAAAAALlX4/rat72Zt2duM9AMoNGmlJVDx0QjPjcf1AwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-61.jpg)
ALLIANCE ONE YATOA VIFAA VYA UJENZI VYA MILIONI 23.9 KWA WILAYA MBILI ZA MKOA WA TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iufBhI78XOw/Xn9C2l-Cq3I/AAAAAAALlX4/rat72Zt2duM9AMoNGmlJVDx0QjPjcf1AwCLcBGAsYHQ/s640/1-61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-59.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (wa tatu kutoka kulia) akiipokea nondo za ujenzi kwa ajili ya Wilaya ya Uyui na Tabora kutoka MKurugenzi wa Uzalishaji wa Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania (AOTTL) David Mayunga (wa pili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ue9ZqnS_EKs/XrT6gBvxcSI/AAAAAAALpcM/SG2KyGAg7x0IZ13LzvI9CXAC1I6oZY5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WORLD VISION YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID-19 VYA MILIONI 17 KWA MKOA WA TABORA
NA TIGANYA VINCENT
SHIRIKA la World Vision Tanzania limekabidhi vifaa vya thamani ya shilingi milioni 17.1 vya kudhibiti virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu ya Covid -19 kwa Mkoa wa Tabora
Msaada huo umekabidhiwa jana mjini Nzega na Meneja wa Kanda wa Shirika World Vision John Masenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri.
Alitaja msaada huo unajumuisha glovu boksi 990, magauni ya wahudumu wa afya ya kuwafaa wakati wa kuwahudumia wagonjwa 80 , lita 290 ya...
SHIRIKA la World Vision Tanzania limekabidhi vifaa vya thamani ya shilingi milioni 17.1 vya kudhibiti virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu ya Covid -19 kwa Mkoa wa Tabora
Msaada huo umekabidhiwa jana mjini Nzega na Meneja wa Kanda wa Shirika World Vision John Masenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri.
Alitaja msaada huo unajumuisha glovu boksi 990, magauni ya wahudumu wa afya ya kuwafaa wakati wa kuwahudumia wagonjwa 80 , lita 290 ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania