MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ANOGESHA SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, akitoa zawadi na michango mbalimbali kwa wasichana wa Shule ya Sekondari Mwankoko Manispaa ya Singida.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe akitekeleza moja ya majukumu yake kama mgeni rasmi, kwenye sherehe za siku ya wanawake mkoani hapa.
Mhe. Mattembe, akifurahi pamoja na makundi mbalimbali ya wanafunzi.
-Maandamano ya Wanawake wa Manispaa ya Singida kwenye sherehe ya siku ya wanawake.
Mbunge wa Viti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE AGEUKA KIVUTIO SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rzIMkL9afNE/XmecOc4QdrI/AAAAAAAAkWg/jFH14QGfsWE1WhB2KYhH5g9nJaq12IMVACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsiRkJGy4P0/XmecN3FonjI/AAAAAAAAkWc/kc0LkeyxgOYhLQH9MRGMf2jFB_YPnAUBQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF1sdgCUDWQ/XmecPceiyUI/AAAAAAAAkWk/v3adMMTx04Yv9mJW_H6F1cJsqVQbe784wCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ezdHfyrce4/XmecPhxxKhI/AAAAAAAAkWo/nKadHWK4P3gUAV1tGS11twIp9ormQpBSwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jYPg4nWTf5w/XlaMlZad42I/AAAAAAAAkQw/UEXDySoiECQPy8StAFMim3QGjLzD4UwfACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE AGUSWA NA MAFURIKO MANYONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jYPg4nWTf5w/XlaMlZad42I/AAAAAAAAkQw/UEXDySoiECQPy8StAFMim3QGjLzD4UwfACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mwananchi wa Kijiji cha Kintinku akipeana mkono na Mhe Mbunge Aysharose Mattembe baada ya kukabidhi msaada wa maturubai kijijini hapo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LbIxfV0xg_k/XlaMlfMV5lI/AAAAAAAAkQs/IdrqnJxZoXkzPx-KGKNzlTDyOJs2jCExQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200220-WA0003.jpg)
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Manyoni, ndugu Jumanne Makanda, Mbunge V/Maalum CCM mkoa wa Singida Aysharose Mattembe, Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki Mhe. Daniel Mtuka na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kintinku, Patrick Anderson wakiwa katika picha ya pamoja wakati walipowatembelea wahanga wa mafuriko Kijiji cha Kintinku.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lwN6d-jfohQ/XlaMlQJF7BI/AAAAAAAAkQo/CVfoWJAY2zIkeTuSZecH5_C28jUpumruwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200220-WA0004.jpg)
...
5 years ago
MichuziMBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA TAARIFA YA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2O15-2020
Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Singida Mjini, wakimpongeza Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (kulia) kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015-2020.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alexandrina Katabi, akizungumza katika mkutano huo.
Katibu wa UWT Singida Mjini, Maimuna Likunguni, akiendesha mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, George Silindu,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5cMx_Kw0a6g/XlacpZS6oyI/AAAAAAAAkRY/02YuYxwZ48UDlt9PpRKvDRX_cfSe-HPlgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI KUSAIDIA UJENZI WA MADARASA MANYONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5cMx_Kw0a6g/XlacpZS6oyI/AAAAAAAAkRY/02YuYxwZ48UDlt9PpRKvDRX_cfSe-HPlgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe, akikabidhi mifuko ya saruji kwa viongozi wa Wilaya ya Manyoni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-fwuaQgiIKHs/XlacpTtk-RI/AAAAAAAAkRg/Rm-97ovfw0MHD0Rvja9mkWaG5fRYHH1kACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0088.jpg)
Muonekano meza kuu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tiPC0fWVT98/XlacpZ1e-VI/AAAAAAAAkRc/Oo3UD_ua0AQqjyfe5W-EPDz9I8mrYhl4gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0089.jpg)
Wazazi wa wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa shule ya msingi Sayuni waliofika shuleni hapo kushuhudia makabidhiano ya mifuko ya saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3jxBeIlzQ8Q/XlacqfMR-FI/AAAAAAAAkRk/tXAYsG9vSeEpbhuFzkqBmqRTTZJnps7CgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0094.jpg)
Wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa Shule ya Msingi Sayuni, wakiwa katika picha ya pamoja Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UgEsfbuI5zg/XtjWhSX1FaI/AAAAAAAAk_A/GpT1hBZG15QhKUu6Ws-7qid9grVz21zzQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200603-WA0087.jpg)
MBUNGE MATTEMBE ATOA MSAADA WA KOMPYUTA SHULE YA SEKONDARI ILONGERO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UgEsfbuI5zg/XtjWhSX1FaI/AAAAAAAAk_A/GpT1hBZG15QhKUu6Ws-7qid9grVz21zzQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200603-WA0087.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jbYwlQaiCQc/XtjWhbcwDiI/AAAAAAAAk-8/UaDWHXgmmAcjLHHR2-mkBYcZ1bg3Wi9BQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200603-WA0089.jpg)
10 years ago
VijimamboDIAOMOND USIPIME ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV
10 years ago
GPLDIAMOND USIPIME, ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-FYCkqP-V16s/VlWISSWrQ6I/AAAAAAAA1Sw/97TME7kmkQI/s72-c/Aysharose.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE AUNGA MKONO UAMUZI WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU MWAKA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-FYCkqP-V16s/VlWISSWrQ6I/AAAAAAAA1Sw/97TME7kmkQI/s320/Aysharose.jpg)
Amesema, uamuzi huo umejali maslahi ya taifa kwa sababu fedha nyingi zingetumika kwenye masuala yasiyokuwa na ulazima kwa wananchi.
Pia, ametoa rai kwa watumishi na viongozi wenzake wa serikali kufanyakazi kwa...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida
![IMG_1124](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1124.jpg)
![IMG_1132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1132.jpg)
![IMG_1142](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1142.jpg)