MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE AGUSWA NA MAFURIKO MANYONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jYPg4nWTf5w/XlaMlZad42I/AAAAAAAAkQw/UEXDySoiECQPy8StAFMim3QGjLzD4UwfACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mwananchi wa Kijiji cha Kintinku akipeana mkono na Mhe Mbunge Aysharose Mattembe baada ya kukabidhi msaada wa maturubai kijijini hapo.
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Manyoni, ndugu Jumanne Makanda, Mbunge V/Maalum CCM mkoa wa Singida Aysharose Mattembe, Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki Mhe. Daniel Mtuka na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kintinku, Patrick Anderson wakiwa katika picha ya pamoja wakati walipowatembelea wahanga wa mafuriko Kijiji cha Kintinku.
...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5cMx_Kw0a6g/XlacpZS6oyI/AAAAAAAAkRY/02YuYxwZ48UDlt9PpRKvDRX_cfSe-HPlgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI KUSAIDIA UJENZI WA MADARASA MANYONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5cMx_Kw0a6g/XlacpZS6oyI/AAAAAAAAkRY/02YuYxwZ48UDlt9PpRKvDRX_cfSe-HPlgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe, akikabidhi mifuko ya saruji kwa viongozi wa Wilaya ya Manyoni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-fwuaQgiIKHs/XlacpTtk-RI/AAAAAAAAkRg/Rm-97ovfw0MHD0Rvja9mkWaG5fRYHH1kACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0088.jpg)
Muonekano meza kuu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tiPC0fWVT98/XlacpZ1e-VI/AAAAAAAAkRc/Oo3UD_ua0AQqjyfe5W-EPDz9I8mrYhl4gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0089.jpg)
Wazazi wa wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa shule ya msingi Sayuni waliofika shuleni hapo kushuhudia makabidhiano ya mifuko ya saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3jxBeIlzQ8Q/XlacqfMR-FI/AAAAAAAAkRk/tXAYsG9vSeEpbhuFzkqBmqRTTZJnps7CgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0094.jpg)
Wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa Shule ya Msingi Sayuni, wakiwa katika picha ya pamoja Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ANOGESHA SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rzIMkL9afNE/XmecOc4QdrI/AAAAAAAAkWg/jFH14QGfsWE1WhB2KYhH5g9nJaq12IMVACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsiRkJGy4P0/XmecN3FonjI/AAAAAAAAkWc/kc0LkeyxgOYhLQH9MRGMf2jFB_YPnAUBQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF1sdgCUDWQ/XmecPceiyUI/AAAAAAAAkWk/v3adMMTx04Yv9mJW_H6F1cJsqVQbe784wCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ezdHfyrce4/XmecPhxxKhI/AAAAAAAAkWo/nKadHWK4P3gUAV1tGS11twIp9ormQpBSwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE AGEUKA KIVUTIO SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rzIMkL9afNE/XmecOc4QdrI/AAAAAAAAkWg/jFH14QGfsWE1WhB2KYhH5g9nJaq12IMVACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsiRkJGy4P0/XmecN3FonjI/AAAAAAAAkWc/kc0LkeyxgOYhLQH9MRGMf2jFB_YPnAUBQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF1sdgCUDWQ/XmecPceiyUI/AAAAAAAAkWk/v3adMMTx04Yv9mJW_H6F1cJsqVQbe784wCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ezdHfyrce4/XmecPhxxKhI/AAAAAAAAkWo/nKadHWK4P3gUAV1tGS11twIp9ormQpBSwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
5 years ago
MichuziMBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA TAARIFA YA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2O15-2020
Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Singida Mjini, wakimpongeza Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (kulia) kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015-2020.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alexandrina Katabi, akizungumza katika mkutano huo.
Katibu wa UWT Singida Mjini, Maimuna Likunguni, akiendesha mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, George Silindu,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UgEsfbuI5zg/XtjWhSX1FaI/AAAAAAAAk_A/GpT1hBZG15QhKUu6Ws-7qid9grVz21zzQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200603-WA0087.jpg)
MBUNGE MATTEMBE ATOA MSAADA WA KOMPYUTA SHULE YA SEKONDARI ILONGERO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UgEsfbuI5zg/XtjWhSX1FaI/AAAAAAAAk_A/GpT1hBZG15QhKUu6Ws-7qid9grVz21zzQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200603-WA0087.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jbYwlQaiCQc/XtjWhbcwDiI/AAAAAAAAk-8/UaDWHXgmmAcjLHHR2-mkBYcZ1bg3Wi9BQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200603-WA0089.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-FYCkqP-V16s/VlWISSWrQ6I/AAAAAAAA1Sw/97TME7kmkQI/s72-c/Aysharose.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE AUNGA MKONO UAMUZI WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU MWAKA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-FYCkqP-V16s/VlWISSWrQ6I/AAAAAAAA1Sw/97TME7kmkQI/s320/Aysharose.jpg)
Amesema, uamuzi huo umejali maslahi ya taifa kwa sababu fedha nyingi zingetumika kwenye masuala yasiyokuwa na ulazima kwa wananchi.
Pia, ametoa rai kwa watumishi na viongozi wenzake wa serikali kufanyakazi kwa...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi ahimiza ukusanyaji pamoja na usimamizi wa mapato ya Halmashauri ya Itigi
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na Katibu wa CCM wilaya ya Manyoni, Dafrosa aliyekwenda kushuhudia sherehe za uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi.
Baadhi ya wananchi na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi,wilayani Manyoni waliohudhuria uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi, Mkoani Singida.
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi(CCM)Bwana Yahaya Masare(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi...
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Manyoni kuondoa ombaomba kandokando ya barabara kuu ya Dodoma-Manyoni
Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Bi Fatma Hassani Toufiq katika moja ya shughuli za kujenga taifa mkoani Singida.(Picha na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Manyoni
MAKAZI ya walemavu na wasiojiweza ya Sukamahela,wilayani Manyoni,Mkoani Singida yalianzishwa mwaka 1974 katika Kijiji cha Sukamahela,kata na tarafa ya Kilimatinde chini ya Idara ya Ustawi wa jamii kwa dhamana ya serikali.
Makazi hayo yaliyoanzishwa mwaka 1974 yalikuwa na walemavu 148 wakiwemo wanaume 57,wanawake 51,watoto wa...
10 years ago
VijimamboMVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA.
Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji.
Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi...