Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab: Wanawake waislamu waliwafunika Hijab wakristo

Abiria aliyenusurika shambulizi la Al shabaab ameiambia BBC kuwa wanawake waislamu walivua hijab na kuwastiri wanawake wakristu iliwasiuawe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waislamu watakiwa kutolalamikia Wakristo

SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba, ametaka Waislamu kuacha kulalamika, kwamba Wakristo wamekuwa wakipewa upendeleo, badala yake watumie fursa wanazopata kuondokana na malalamiko hayo. Akizungumza katika maadhimisho ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), yaliyofanyika kitaifa mkoani Kigoma jana, Mufti Simba alisema chanzo cha malalamiko hayo ni Waislamu kushindwa kujitolea katika mambo mbalimbali ya maendeleo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waislamu waokoa wakristo waliotekwa na Alshabab

Abiria wa kiislamu waliwalinda wenzao wakristo kwa kukataa kugawanywa kwa makundi basi lao lilipotekwa na wapiganaji wa Al shaabab

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab yataka wanawake kuvaa Niqab

Wanamgambo wa al shabaab nchini Somalia wamewakamata takriban wanawake 100 na kuwaaamuru kuvaa mavazi yanayofunika mwili wao wote

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muislamu wa US ashinda kesi ya Hijab

Mahakama ya Marekani imetoa uamuzi uliompendelea mwanamke muislamu ambaye alienda mahakamani baada ya kunyimwa kazi kutokana na vazi lake la hijab.

 

11 years ago

BBC

Egypt's new hijab-clad superheroine

The comic strip superhero breaking the mould in Egypt

 

9 years ago

BBCSwahili

Akatazwa kuvaa hijab kazini Ufaransa

Mahakama ya Ulaya ya haki za kibinaadamu imekataa hoja ya mfanyikazi mmoja wa kiislamu aliyetaka kuvaa hijab kazini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba watumia Vibaya Hijab Kenya

Makahaba katika baadhi ya sehemu za mji mkuu wa Kenya , Nairobi, wametupilia Mbali vazi la 'Mini skirt na kuanza kutumia Hijab kama njia ya kuwavutia wateja wao

 

10 years ago

BBCSwahili

Waaga mchuano baada ya kuagizwa kuvua hijab

Sheria za shirikisho la mpira wa vikapu haziruhusu mavazi kichwani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani