Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab yataka wanawake kuvaa Niqab

Wanamgambo wa al shabaab nchini Somalia wamewakamata takriban wanawake 100 na kuwaaamuru kuvaa mavazi yanayofunika mwili wao wote

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Fashion Show ya Kwanza ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jinsi ya Kuvaa Kanisani

Kwa mara ya kwanza mbunifu mkubwa wa mavazi, Mustafa Hassanali akiwa na mwanamtindo maarufu hapa Bongo, Jokate Mwegelo siku ya jana waliandaa onyesho la mavazi ya kanisani kwa wakinamama yaliyofanyika kwenye ukumbi wa kardinali Rugambwa jijini Dar es salaam, ambapo Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ndiyo alikuwa mgeni rasmi wa onyesho hilo.

Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.

KIJOTE34

jokate13

 

JOKATE23

 

9 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab: Wanawake waislamu waliwafunika Hijab wakristo

Abiria aliyenusurika shambulizi la Al shabaab ameiambia BBC kuwa wanawake waislamu walivua hijab na kuwastiri wanawake wakristu iliwasiuawe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Niqab ni haramu nchini Ufaransa

Mahakama ya haki za binadamu Ulaya imeamrisha kuendelea kutekelezwa hukumu ya kupiga marufuku vazi la hijab

 

11 years ago

BBCSwahili

Vazi ya Niqab haramu Ufaransa

Mahakama ya haki za binadamu barani Ulaya imeamrisha kuendelea kutekelezwa hukumu ya kupiga marufuku Niqab nchini Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Niqab yapigwa marufuku Congo Brazaville

Jamuhuri ya Congo- Brazaville imepiga marufuku vazi la Niqab katika maeneo ya umma.

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

10 years ago

GPL

Mavugo rasmi kuvaa uzi wa Simba

Mshambuliaji , Laudit Mavugo. Hans Mloli na Wilbert Molandi
TAYARI Simba imefanya yake baada ya kufanikiwa kumnasa mshambuliaji iliyekuwa ikimuwinda kwa muda mrefu, Laudit Mavugo raia wa Burundi na kumpa mkataba wa miaka miwili. Mavugo amekuwa akitajwa na Simba kwa muda mrefu tangu ulipomalizika msimu wa Ligi Kuu Bara 2014/15, baada ya mchezaji huyo kupendekezwa kutua klabuni hapo na aliyekuwa kocha wa timu hiyo aliyemaliza...

 

10 years ago

Vijimambo

FAIZA AWACHARUKIA WANAOMPONDA KUVAA ‘PAMPERS’

Stori: Hamida Hassan wa GPLMzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally ‘Mama Sasha’ amewafungukia watu ambao wanamponda yeye kutinga na ‘pampers’ ukumbini na kusema kuwa hiyo ni moja ya maamuzi yake binafsi.Mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally ‘Mama Sasha’ akipozi.Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Faiza aliyetinga vazi hilo katika siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni, alisema kuvaa vile hafikiri kama kuna ubaya kwa mtu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani