Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vazi ya Niqab haramu Ufaransa

Mahakama ya haki za binadamu barani Ulaya imeamrisha kuendelea kutekelezwa hukumu ya kupiga marufuku Niqab nchini Ufaransa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Niqab ni haramu nchini Ufaransa

Mahakama ya haki za binadamu Ulaya imeamrisha kuendelea kutekelezwa hukumu ya kupiga marufuku vazi la hijab

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab yataka wanawake kuvaa Niqab

Wanamgambo wa al shabaab nchini Somalia wamewakamata takriban wanawake 100 na kuwaaamuru kuvaa mavazi yanayofunika mwili wao wote

 

10 years ago

BBCSwahili

Niqab yapigwa marufuku Congo Brazaville

Jamuhuri ya Congo- Brazaville imepiga marufuku vazi la Niqab katika maeneo ya umma.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia

SAM_0161

Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.

SAM_0148

Ofisa Uvuvi Mfawidhi Kituo cha kuendeleza ufugaji samaki kanda ya kati, Bwana Renatus Charles Karumbete akitoa maelezo ya namna samaki wanavyozalishwa katika kituo hicho.

Na. Jumbe Ismailly

[IGUNGA] Kituo  cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Vazi la Papa, Afrika

Akiwa nchini Kenya kiongozi wa kanisa katoliki Duniani Papa Francis atakitembelea pia kitongoji cha Kangemi.

 

10 years ago

Mwananchi

Utokeje na vazi la jioni?

Kwa kawaida kila vazi lina taratibu zake katika uvaaji, pia upangiliaji licha ya ukweli kuwa watu wengi hupendelea kuvaa mavazi yanayowaweka huru zaidi na masuala ya sheria za mavazi yakija nyuma.

 

9 years ago

GPL

VAZI LA KHANGA MOJA HESHIMA YA NDOA

Ni wiki nyingine tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini uko salama, tayari kwa kupiga kura keshokutwa kuchagua viongizi watakaotuongoza kwa miaka mitano ijayo. Mpenzi msomaji wangu, katika kuifanya ndoa iwe imara, niliwahi kuzungumzia mavazi sahihi ya mke kumvalia mumewe wakiwa chumbani. Lakini pia nikasema kwamba, kama kwenye nyumba mnaishi wawili tu, sioni shida mke kuvaa anavyotaka. Pia nikasema kuwa, hakuna kitu kibaya kama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad yapiga marufuku vazi la Burqa

Mamlaka ya Chad imepiga marufuku vazi la Burqa kufuatia visa vya walipuaji wa kujitolea muhanga siku ya jumatatu ambavyo vimewaua watu 23.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani