Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VAZI LA KHANGA MOJA HESHIMA YA NDOA

Ni wiki nyingine tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini uko salama, tayari kwa kupiga kura keshokutwa kuchagua viongizi watakaotuongoza kwa miaka mitano ijayo. Mpenzi msomaji wangu, katika kuifanya ndoa iwe imara, niliwahi kuzungumzia mavazi sahihi ya mke kumvalia mumewe wakiwa chumbani. Lakini pia nikasema kwamba, kama kwenye nyumba mnaishi wawili tu, sioni shida mke kuvaa anavyotaka. Pia nikasema kuwa, hakuna kitu kibaya kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Vazi la Khanga lafana katika tamasha la Kitchen Party Gala

Jumapili iliyoisha ya tarehe 08.11. 2015, wanawake kutoka sehemu mbali mbali jijini Dar es salaam walikutana katika tamasha la Kitchen Party Gala likiwa limebeba ujumbe wa “Mwanamke Simama Na Timiza Ndoto Zako”.

Wanawake wakiwa wamevalia khanga ambayo ndio ilikuwa dress code ya tamasha walikusanyika kwa wingi kwa ajili ya kupata mafunzo na ushauri bila kusahau burudani.

Pia Ilichezeshwa droo ya kushinda safari ya Afrika Kusini kwa siku mbili alishinda, iliyodhaminiwa na Kinyago...

 

10 years ago

Vijimambo

RITA ORA NA KIM KARDASHIANA WAGONGANA NA VAZI LINALOFANANA KWENYE HAFLA MOJA YA MADONNA.

She loves the attention! The mother-of-one couldn't seem to get enough of the flashing lights as she posed.Flawless: The American reality television star was preened to perfection for her night out with Kanye.In good hands: The 37-year-old rapper rested his hand on his wife's bottom as they headed inside.Doing the double: Rita Ora (left) arrives at the Mert & Marcus House of Love party only to find that Kim Kardashian (right) is wearing a near-identical dress.Before the big surprise: Rita...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ireland yahalalisha ndoa za jinsia moja

Waziri mkuu nchini Ireland amesema Ireland imetoa ujumbe mkubwa baada ya kupiga kura kwa wingi kuhalalisha ndoa za jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaopinga ndoa za jinsia moja wasalimu

Kiongozi anayeongoza kampeni za kupinga ndoa za jinsia moja nchini Ireland amekubali kushindwa,huku kura zikiendelea kuhesabiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoa za jinsia moja zaungwa mkono

Ishara za mapema nchini Ireland zinaonyesha kuwa wanaounga mkono ndoa hizo wanaelekea kupata ushindi mkubwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndoa za jinsia moja zapingwa Uingereza

Maaskofu katika kanisa moja nchini Uingereza wawaambia viongozi wa dini kwamba hawataruhusiwa kuingia katika ndoa za jinsia moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani