Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vazi la Khanga lafana katika tamasha la Kitchen Party Gala

Jumapili iliyoisha ya tarehe 08.11. 2015, wanawake kutoka sehemu mbali mbali jijini Dar es salaam walikutana katika tamasha la Kitchen Party Gala likiwa limebeba ujumbe wa “Mwanamke Simama Na Timiza Ndoto Zako”.

Wanawake wakiwa wamevalia khanga ambayo ndio ilikuwa dress code ya tamasha walikusanyika kwa wingi kwa ajili ya kupata mafunzo na ushauri bila kusahau burudani.

Pia Ilichezeshwa droo ya kushinda safari ya Afrika Kusini kwa siku mbili alishinda, iliyodhaminiwa na Kinyago...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MWASITI, SHAA NA KHADIJA OMARI KOPA KUWASHA MOTO KATIKA JUKWAA LA FAMILIA KITCHEN PARTY GALA

wasanii wa kike watatu wanao tamba katika tasinia ya muziki nchini shaa, mwasiti na khadija omari kopa wanatalajia kupamba tamasha la jukwaa la wanawake lijulikanalo kama familia kitchen part gala litakalo fanyika jijini dar es salaam siku ya kesho katika ukumbi wa diamond jubilee chini ya women in balance chini ya udhamini wa shirika la psi tanzania.
mratibu wa jukwaa hilo vida mndolwa amesema  jukwaa hilo limelenga kutoa elimu mbalimbali hususani uzazi wa mpango na upimaji wa saratani ya...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Michuzi

Familia Kitchen Party Gala ni Jumapili Hii

 Jumapili  huwa ni siku muhimu sana kwa familia. Ni siku ambayo mama/dada anapata nafasi ya kukaa ama kutembelea ndugu jamaa na marafiki. Kwa kufahamu umuhimu wa kuwa na familia yenye furaha na upendo, PSI Tanzania kupitia brand yao ya Familia wanakuletea Familia Kitchen Party Gala tour,Dar es Salaam. Nafasi ya mwanamke wa Dar es Salaam kupata mafunzo na kujinoa kuhusu mambo yanayomuhusu yeye,afya, saikolojia, kupanga muda, na mengine meeengi. Hii ni nafasi ya kina mama kupima Kansa ya...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA KITCHEN PARTY GALA JIJINI MWANZA‏

Elimu ikitolewa katika Familia Kitchen Party Gala jijini Mwanza jana. Msanii Mwasiti akitoa burudani wakati wa Familia Kitchen Party Gala jijini…

 

11 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Michuzi

Familia Kitchen Party Gala ndani ya jiji la Mwanza

Wanawake wa jiji la Mwanza wamepata nafasi ya kuongea na Mama Victor,Aunt Sadaka na Getrude Mongela katika Familia Kitchen Party Gala. Shughuli imefanyika jana Jumamosi tarehe 19,katika ukumbi wa Gold Crest Hotel.
Ukiachana na maongezi kuhusu mahusiano na masuala ya kina mama,vilevile wanawake walipata nafasi ya kupata huduma na ushauri wa Uzazi wa mpango,vipimo vya saratani/kansa ya mlango wa uzazi iliyotolewa bure na Familia kupitia PSI Tanzania. Mtaalam wa Maswala ya saikolojia,Aunt...

 

11 years ago

Michuzi

FAMILIA KITCHEN PARTY GALA NDANI YA JIJI LA DAR

Baada ya Dodoma na Mwanza,sasa Familia Kitchen Party Gala inahamia Dar es Salaam. Ni Jumapili hii tarehe 26,ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia saa sita mchana. Wazungumzaji ni Aunt Sadaka,Mama Victor na kaka Chris Mauki.. Burudani kabambe kutoka kwa Malkia Khadija Kopa,Mwasiti na Shaa

 

9 years ago

Bongo5

Dina Marius airejesha tena Kitchen Party Gala

Mtangazaji wa kipindi cha Uhondo cha EFM, Dina Marious ameirejesha tena Kitchen Party Gala – hafla ambayo huwakutanisha wanawake mbalimbali nchini kuzungumza masuala ya mahusiano, familia, kujikwamua kiuchumi na mengine. “Kila mwanamke ana mipango na mikakati ya kufikia malengo fulani katika maisha.Yawezekana mipango haiendi,changamoto zinakufanya ukate tamaa,umekuwa mtu wa kuhairisha, wewe muongeaji tu utendaji sifuri,ndoa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani