Mavugo rasmi kuvaa uzi wa Simba
![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20y6ZweqeK7GwxZqimfuHJ5MMSkd-P6lvPAe2leOksA*AGpHqnbKqM6QmKFrHRhUNIKfwWpg*TPgTa20zNsEtO5/htryydy.gif)
Mshambuliaji , Laudit Mavugo. Hans Mloli na Wilbert Molandi TAYARI Simba imefanya yake baada ya kufanikiwa kumnasa mshambuliaji iliyekuwa ikimuwinda kwa muda mrefu, Laudit Mavugo raia wa Burundi na kumpa mkataba wa miaka miwili. Mavugo amekuwa akitajwa na Simba kwa muda mrefu tangu ulipomalizika msimu wa Ligi Kuu Bara 2014/15, baada ya mchezaji huyo kupendekezwa kutua klabuni hapo na aliyekuwa kocha wa timu hiyo aliyemaliza...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/mavugo-agiye-kugaruka-muri-kiyovu-_53f3764f70777.jpg)
SIMBA YAMPA MAVUGO SH MILIONI 100
10 years ago
Mwananchi08 Jun
USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Simba yamtosa Mavugo, yashusha kifaa cha Italia
10 years ago
Vijimambo29 May
Yanga safi kwa Mzimbabwe, Simba yakwama kwa Mavugo
![](http://api.ning.com/files/5wu8U2MaqbiIzZtKrnNmE56xoZWtOlqiPAp30XO*4RBtcLoLMfKi-NaTZ0C5Gdigaq8AnGbMpWzXYoff4gnpmYLFJDAN*bl8/donaldngoma.jpg)
Dinaldo Ngoma, FC Platinum ya Zimbambwe.
Nicodemus Jonas na Hans MloliMBIO za usajili zinazidi kukolea, Yanga imemalizana na Dinaldo Ngoma wa FC Platinum ya Zimbambwe, wakati upande wa pili wapinzani wao, Simba wanaweza kukwama kumnasa straika Mrundi, Laudit Mavugo kutokana na Klabu ya Vital’O kuonekana kuweka ngumu.Yanga wameeleza kuwa wamemalizana na mchezaji huyo lakini wanachosubiri ni tamko la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya kuongeza idadi ya wachezaji wa kimataifa.Katibu Mkuu...
10 years ago
Bongo513 Dec
Ray (Yanga) kumpa JB milioni 1 na kuvaa jezi ya Simba baada ya kufungwa
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]
The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3KOhR8v2a10cJAgvZmRJiet4ZM2XxJ*q9wAzkrxd-Wavs0YUmViVIhXX6r4HE-ax4sC5zz*433xMIsZYUYH3eSyo8l9pL*w/UOIOYO.gif?width=650)
Mavugo akusanya kijiji Zenji
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPhTMPsWclG0VY9MNG4ooTZ2w-DfET*R7g9YxoM4bF7avOPM1iGihiuFP0qOO8XEqD9GeyfVIR9dJTkrbYAVIb6L/okwi.jpg)
Okwi rasmi Simba
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Kiiza atua rasmi Simba