Yanga safi kwa Mzimbabwe, Simba yakwama kwa Mavugo
Dinaldo Ngoma, FC Platinum ya Zimbambwe.
Nicodemus Jonas na Hans MloliMBIO za usajili zinazidi kukolea, Yanga imemalizana na Dinaldo Ngoma wa FC Platinum ya Zimbambwe, wakati upande wa pili wapinzani wao, Simba wanaweza kukwama kumnasa straika Mrundi, Laudit Mavugo kutokana na Klabu ya Vital’O kuonekana kuweka ngumu.Yanga wameeleza kuwa wamemalizana na mchezaji huyo lakini wanachosubiri ni tamko la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya kuongeza idadi ya wachezaji wa kimataifa.Katibu Mkuu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Oct
Yanga safi, Simba kilio
YANGA safari hii ni dozi tu! Ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Toto Africans. Mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 4-1, hivyo kuendelea kukalia usukani wa ligi hiyo ikiwa na pointi 19, ikifuatiwa na Azam yenye pointi 16.
10 years ago
Vijimambo24 Jul
KMKM WAMELALA 2 TAIFA YANGA SASA MOJA KWA NOJA ROBO FAINALI KIROHO SAFI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Malimi-Busunu-2.jpg)
MABINGWA wa kandanda Tanzania bara, Young Africans leo wamefanikiwa kuingia robo fainali baada ya kuwalaza KMKM goli 2 bila majibu, ni Busungu tena amecheka na nyavu na kumfanya kuwa na magoli 3 katika mechi tatu alizocheza. Magoli ya Yanga yalifungwa na Busungu goli moja na Tamwe goli la pili. Kipindi cha kwanza timu zote zilienda mapumziko bila kufungani hali hiyo ilikuwa pressure kwa wanazi wa Yanga kwani kama wange poteza mchezo wa leo basi wange kuwa wamesha toka katika mashindano hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0499-768x513.jpg)
Manispaa ya Sumbawanga yang’ara kimapato huku wakipata hati safi kwa miaka mitatu
![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0499-768x513.jpg)
Wakati akitoa salamu zake katika kikao cha Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo kuhusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Mzimbabwe aichambua Yanga SC
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kiungo Mzimbabwe atua Simba
KIUNGO mkabaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Justice Majabvi aliwasili jana na kwenda moja kwa moja katika kambi ya Simba iliyopo Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi14 Aug
Kiungo Mzimbabwe asaini Simba
10 years ago
Mwananchi06 Aug
USAJILI : Mzimbabwe atua Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20y6ZweqeK7GwxZqimfuHJ5MMSkd-P6lvPAe2leOksA*AGpHqnbKqM6QmKFrHRhUNIKfwWpg*TPgTa20zNsEtO5/htryydy.gif)
Mavugo rasmi kuvaa uzi wa Simba