Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manispaa ya Sumbawanga yang’ara kimapato huku wakipata hati safi kwa miaka mitatu

Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imeendelea kung’aa kwa kuvuka malengo ya makusanyo ya mapato katika kipindi cha miaka miwli mfululizo huku ikiendelea kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo hali inayapopelekea halmashauri hiyo kupata fursa ya mikopo kwaajili ya miradi maalum ya kimkakati kwaajili ya kuongeza mapato ya halmashauri.

Wakati akitoa salamu zake katika kikao cha Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo kuhusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kwa miaka 5 hakuna h/shauri yenye hati safi

IMEELEZWA kuwa kwa miaka mitano mfululizo hakuna halmashauri nchini iliyopata hati safi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Modewjiblog yang’ara maonyesho ya Sabasaba huku ikitimiza miaka 7

IMG_6930

Pichani juu na chini ni Meneja Mwendeshaji wa tovuti ya Modewjiblog, Zainul Mzige akiwapa ufafanuzi wadau waliotembelea banda la tovuti hiyo lililopo MeTL Pavillion katika maonyesho ya kimataifa ya kibiashara ya Sabasaba yanayoendelea katika kiwanja cha Mwl. Julius Nyerere barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.

Bw. Zainul pia ametumia fursa hiyo kutaja umri wa tovuti hiyo ambapo amesema sasa inatimiza miaka saba(7) tangu ilipoanzishwa na kuwa inatarajia kuadhimisha “birthday”itakapofika...

 

5 years ago

Michuzi

KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUPATA HATI SAFI MIAKA MITANO MFULULIZO .

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ,ndug. Aron Kagurumjuli akifungua kikao cha baraza la madiwani cha ukaguzi wa hoja za mkaguzi wa hesabu za serikali kilichofanyika leo katika ukumbi wa Manispaa. Kushoto ni Mstahiki Meya Mhe. Benjamini Sitta.
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni,Mhe. Benjamini Sitta akifuatilia hoja iliyokuwa ikiwasilishwa na Mkaguzi   mkuu wa hesabu za nje, kulia ni Mkurugenzi Ndug. Aron KagurumjuliBaadhi ya madiwani  na watumishi ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Gabon yawika huku wenyeji wakipata sare

Timu ya Gabon ilianza vyema kampeni yake ya kulinyakua kombe la mataifa ya Afrika baada ya kuishinda Burkina Fasso

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu

Wakati Yanga imesitisha mkataba wa kazi wa kocha wake, Ernest Brandts imebainika kuwa Yanga na Simba zimefukuza makocha tisa kwa kipindi cha miaka mitatu.

 

5 years ago

Michuzi

Malima aipongeza Halmashauri ya Bunda kwa hati safi


Na. Immaculate Makilika- MAELEZO

Mkuu wa Mkoa wa Mara ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017.

Akizungumza hivi karibuni wakati wa uwasilishaji wa hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Selikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019, Mkuu wa mkoa wa Mara, Adam Malima aliipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya

Wizara ya afya nchini Tanzania imethibitisha kuwa wagonjwa wengine wawili wamepona ugonjwa wa Corona huku nchi jirani ya Kenya ikitangaza kuwa watu wengine 14 wamepata maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona 4 wafariki huku 15 wakipata maambukizi Kenya

Kenya imeripoti jumla ya visa 411 vya maambukizi ya virusi vya corona Ijumaa, kwa mujibu wa taarifa za hivi punde zilizotangazwa na Waziri wa Afya wan chi hiyo Bwana Mutahi Kagwe

 

9 years ago

Mwananchi

CCM kuongoza Manispaa ya Sumbawanga

Hatimaye meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa amepatikana jana baada ya Chadema kukubali kushiriki kupiga kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani