Manispaa ya Sumbawanga yang’ara kimapato huku wakipata hati safi kwa miaka mitatu
![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0499-768x513.jpg)
Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imeendelea kung’aa kwa kuvuka malengo ya makusanyo ya mapato katika kipindi cha miaka miwli mfululizo huku ikiendelea kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo hali inayapopelekea halmashauri hiyo kupata fursa ya mikopo kwaajili ya miradi maalum ya kimkakati kwaajili ya kuongeza mapato ya halmashauri.
Wakati akitoa salamu zake katika kikao cha Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo kuhusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Feb
Kwa miaka 5 hakuna h/shauri yenye hati safi
IMEELEZWA kuwa kwa miaka mitano mfululizo hakuna halmashauri nchini iliyopata hati safi.
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Modewjiblog yang’ara maonyesho ya Sabasaba huku ikitimiza miaka 7
Pichani juu na chini ni Meneja Mwendeshaji wa tovuti ya Modewjiblog, Zainul Mzige akiwapa ufafanuzi wadau waliotembelea banda la tovuti hiyo lililopo MeTL Pavillion katika maonyesho ya kimataifa ya kibiashara ya Sabasaba yanayoendelea katika kiwanja cha Mwl. Julius Nyerere barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Bw. Zainul pia ametumia fursa hiyo kutaja umri wa tovuti hiyo ambapo amesema sasa inatimiza miaka saba(7) tangu ilipoanzishwa na kuwa inatarajia kuadhimisha “birthday”itakapofika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JRqO7jXBvy8/XteqoYQbmPI/AAAAAAALsg0/xaEecqgYF4MHsO6-TM1RHvSePtHC1Mm6ACLcBGAsYHQ/s72-c/cf164921-7add-4f13-8526-11c9018e3cd6.jpg)
KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUPATA HATI SAFI MIAKA MITANO MFULULIZO .
![](https://1.bp.blogspot.com/-JRqO7jXBvy8/XteqoYQbmPI/AAAAAAALsg0/xaEecqgYF4MHsO6-TM1RHvSePtHC1Mm6ACLcBGAsYHQ/s640/cf164921-7add-4f13-8526-11c9018e3cd6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/88ddfb52-3c2c-4be1-95b8-c2d8e21628ea.jpg)
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni,Mhe. Benjamini Sitta akifuatilia hoja iliyokuwa ikiwasilishwa na Mkaguzi mkuu wa hesabu za nje, kulia ni Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0eeb8015-7735-486a-a877-5a2d94dd9229.jpg)
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Gabon yawika huku wenyeji wakipata sare
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6Ap2_-SAeSg/Xt4uKsv2pwI/AAAAAAALtB4/gwkldbkIxsk-3hlfr17NeLSdC0FjB7hQgCLcBGAsYHQ/s72-c/38915-adam2bmalima2beyopah.jpg)
Malima aipongeza Halmashauri ya Bunda kwa hati safi
![](https://1.bp.blogspot.com/-6Ap2_-SAeSg/Xt4uKsv2pwI/AAAAAAALtB4/gwkldbkIxsk-3hlfr17NeLSdC0FjB7hQgCLcBGAsYHQ/s400/38915-adam2bmalima2beyopah.jpg)
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO
Mkuu wa Mkoa wa Mara ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017.
Akizungumza hivi karibuni wakati wa uwasilishaji wa hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Selikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019, Mkuu wa mkoa wa Mara, Adam Malima aliipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017,...
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona 4 wafariki huku 15 wakipata maambukizi Kenya
9 years ago
Mwananchi18 Dec
CCM kuongoza Manispaa ya Sumbawanga