Kwa miaka 5 hakuna h/shauri yenye hati safi
IMEELEZWA kuwa kwa miaka mitano mfululizo hakuna halmashauri nchini iliyopata hati safi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0499-768x513.jpg)
Manispaa ya Sumbawanga yang’ara kimapato huku wakipata hati safi kwa miaka mitatu
![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0499-768x513.jpg)
Wakati akitoa salamu zake katika kikao cha Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo kuhusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JRqO7jXBvy8/XteqoYQbmPI/AAAAAAALsg0/xaEecqgYF4MHsO6-TM1RHvSePtHC1Mm6ACLcBGAsYHQ/s72-c/cf164921-7add-4f13-8526-11c9018e3cd6.jpg)
KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUPATA HATI SAFI MIAKA MITANO MFULULIZO .
![](https://1.bp.blogspot.com/-JRqO7jXBvy8/XteqoYQbmPI/AAAAAAALsg0/xaEecqgYF4MHsO6-TM1RHvSePtHC1Mm6ACLcBGAsYHQ/s640/cf164921-7add-4f13-8526-11c9018e3cd6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/88ddfb52-3c2c-4be1-95b8-c2d8e21628ea.jpg)
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni,Mhe. Benjamini Sitta akifuatilia hoja iliyokuwa ikiwasilishwa na Mkaguzi mkuu wa hesabu za nje, kulia ni Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0eeb8015-7735-486a-a877-5a2d94dd9229.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6Ap2_-SAeSg/Xt4uKsv2pwI/AAAAAAALtB4/gwkldbkIxsk-3hlfr17NeLSdC0FjB7hQgCLcBGAsYHQ/s72-c/38915-adam2bmalima2beyopah.jpg)
Malima aipongeza Halmashauri ya Bunda kwa hati safi
![](https://1.bp.blogspot.com/-6Ap2_-SAeSg/Xt4uKsv2pwI/AAAAAAALtB4/gwkldbkIxsk-3hlfr17NeLSdC0FjB7hQgCLcBGAsYHQ/s400/38915-adam2bmalima2beyopah.jpg)
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO
Mkuu wa Mkoa wa Mara ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017.
Akizungumza hivi karibuni wakati wa uwasilishaji wa hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Selikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019, Mkuu wa mkoa wa Mara, Adam Malima aliipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017,...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Rorya waipa halmashauri yao hati yenye shaka
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yaunda Bodi mpya ya Afya yenye wajumbe 11 kwa miaka mitatu
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani, Singida Manju Msambya akizungumza na wajumbe wa bodi ya afya ya Wikaya ya Ikungi kwenye ukumbi wa Lake Hill Singida Motel, wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya halmashauri hiyo.
Na Hillary Shoo,IKUNGI.
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida imeunda bodi mpya ya afya yenye wajumbe 11 na kamati za afya za vituo kwa kipindi cha miaka mitatu ili kufanikisha kuwepo kwa miundo ya kijamii na kitaasisi ambayo itaongeza madaraka na mamlaka ya jamii juu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HCuCdswRaH0/Ujk38lhxnpI/AAAAAAAALvc/WSVm_5TonHw/s72-c/ST.jpg)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 7 YA KIFO CHA MZEE SHAURI TIMOTHEO NATHAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-HCuCdswRaH0/Ujk38lhxnpI/AAAAAAAALvc/WSVm_5TonHw/s640/ST.jpg)
Nimajonzi sana kwetu hasa ukizingatia kuwa uliondoka katika tarehe ambayo kitinda mimba wako Mroki Mroki alizaliwa na ni siku kumi tu baada ya kufunga ndoa Mroki "Father Kidevu".
Unakumbukwa na wengi sana maana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FfJnxUXLJj0/XvXscg-zclI/AAAAAAALvjA/zonwijo43usXSk-CO5Sg4BJ0xvJJfxHhgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0526.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA IDD KIMANTA AMTAKA DC BALELE KUSIMAMA VEMA KUHAKIKISHA HAKUNA HATI CHAFU MONDULI
MKUU wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta amemueleza Mkuu wa Wilaya ya Monduli ACP Edward Balele kuwa Wilaya ya Monduli haijawai kupata hati chafu tokea Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, hivyo amemtaka aendelee kusimamia vyema ili hati chafu isiwepo..
Kimanta ameyasema hayo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu huyo wa Wilaya katika ofisi za Wilaya ya Monduli na kisha kuzungumza na watumishi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya na halmashauri.Amemtaka Mkuu uyo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsVV6mDOlzVUDDffgvwZ00fR1-Ci7Bw*WrUv-XgMAhv0kBFD8fPSFtme1tfcTI-fZ0X2X*lXKSGxCU8ZGmqdjEu/romantic_girl2560x1600.jpg?width=650)
UNAISHI KWA MAZOEA? SHAURI YAKO!
9 years ago
Bongo519 Oct
Video ya Belle 9 ‘Shauri Zao’ yatambulishwa kwa mara ya kwanza Trace Urban