Rorya waipa halmashauri yao hati yenye shaka
Unapofika kwenye makao ya Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara, utavutiwa na majengo mazuri ya ghorofa na miundombinu yake iliyoboreshwa bila kusahau ngazi nzuri zilizojengwa kwa kuzingatia hali ya mtu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Chadema wapata hati ya shaka ya Mkaguzi Mkuu
10 years ago
Habarileo01 Feb
Kwa miaka 5 hakuna h/shauri yenye hati safi
IMEELEZWA kuwa kwa miaka mitano mfululizo hakuna halmashauri nchini iliyopata hati safi.
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Halmashauri za Mwanza vinara hati isiyoridhisha
HALMASHAURI za Jiji la Mwanza zimeelezwa kuongoza kwa kuwa na hati isiyoridhisha baada ya kufanyiwa ukaguzi wa mahesabu yake na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG). Wakati hali ikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6Ap2_-SAeSg/Xt4uKsv2pwI/AAAAAAALtB4/gwkldbkIxsk-3hlfr17NeLSdC0FjB7hQgCLcBGAsYHQ/s72-c/38915-adam2bmalima2beyopah.jpg)
Malima aipongeza Halmashauri ya Bunda kwa hati safi
![](https://1.bp.blogspot.com/-6Ap2_-SAeSg/Xt4uKsv2pwI/AAAAAAALtB4/gwkldbkIxsk-3hlfr17NeLSdC0FjB7hQgCLcBGAsYHQ/s400/38915-adam2bmalima2beyopah.jpg)
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO
Mkuu wa Mkoa wa Mara ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017.
Akizungumza hivi karibuni wakati wa uwasilishaji wa hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Selikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019, Mkuu wa mkoa wa Mara, Adam Malima aliipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fuom-C-yCMM/XpajiZ00npI/AAAAAAALm_E/ssAfj3SZGpANVupUKboCjazOKe0YiTALACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200414_113418_2.jpg)
RIDHIWANI AIKABIDHI HALMASHAURI YA CHALINZE MABATI, MATANKI YA MAJI YENYE GHARAMA YA MIL.13.9
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhi mabati 1,000 kwa halmashauri ya Chalinze ,pamoja na tanki za maji na mabeseni Tisa vyote vikiwa na gharama ya milioni 13.9.
Kati ya mabati hayo 600 yataelekezwa katika miradi ya halmashauri ya sekta ya elimu na afya na 400 yatapangiwa kazi na matakwa ya mfuko wa jimbo.
Akizungumzia kuhusu msaada huo ,Ridhiwani alieleza kuwa , shule ya sekondari Changarikwa inapatiwa mabati 90,Msata 90,Chamakweza mabati...
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yaunda Bodi mpya ya Afya yenye wajumbe 11 kwa miaka mitatu
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani, Singida Manju Msambya akizungumza na wajumbe wa bodi ya afya ya Wikaya ya Ikungi kwenye ukumbi wa Lake Hill Singida Motel, wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya halmashauri hiyo.
Na Hillary Shoo,IKUNGI.
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida imeunda bodi mpya ya afya yenye wajumbe 11 na kamati za afya za vituo kwa kipindi cha miaka mitatu ili kufanikisha kuwepo kwa miundo ya kijamii na kitaasisi ambayo itaongeza madaraka na mamlaka ya jamii juu ya...
10 years ago
MichuziJKT KANEMBWA YAIOMBA HALMASHAURI YA KIGOMA KUMALIZA MCHAKATO WA KUKIPATIA HATI MILIKI YA MAENEO YA KIKOSI
KAMANDA wa Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 824 KJ cha Kanemwa wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma Luteni Kanali Erasmus Bwegoge ameomba Halmashauri ya wilaya hiyo kutilia mkazo na kuhitimisha mchakato wa kupata hati miliki ya maeneo ya kikosi hicho ili kuondoa uwezekano wa wananchi kuvamia maeneo hayo jambo ambalo linaweza kuzua migogoro na kuhatarisha mahusiao baina ya Jeshi na wananchi.
Luteni kanali Bwegoge ametoa ombi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Oz6AYMFvgHg/Xt5ZAhzOZSI/AAAAAAALtGM/hXzgt24Ykn4Q3D_MGnWyeXE7jHsGRcicQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-08-05h36m15s766.png)
Madiwani wataka maridhiano kesi dhidi ya halmashauri yao zimalizwe
Akiwasilisha taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali kwa Mwaka 2018/2019 mweka Hazina wa Halmashauri ya mji Njombe Bi. Dorcas Mkello amesema kuwa Halmashauri ilipata Hati inayoridhisha (Hati Safi) yenye masuala mawili ya msisitizo ambapo moja ni miradi ya maji kuhamia Ruwasa na pili ikiwa ni kesi za madai yenye kiasi cha Tshs. 215,384,844 ambapo kama uamuzi utatoka juu ya walalamikaji Halmashauri itatakiwa kulipa fedha hizo.
Wakitoa mapendekezo yao wakati...