JKT KANEMBWA YAIOMBA HALMASHAURI YA KIGOMA KUMALIZA MCHAKATO WA KUKIPATIA HATI MILIKI YA MAENEO YA KIKOSI
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
KAMANDA wa Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 824 KJ cha Kanemwa wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma Luteni Kanali Erasmus Bwegoge ameomba Halmashauri ya wilaya hiyo kutilia mkazo na kuhitimisha mchakato wa kupata hati miliki ya maeneo ya kikosi hicho ili kuondoa uwezekano wa wananchi kuvamia maeneo hayo jambo ambalo linaweza kuzua migogoro na kuhatarisha mahusiao baina ya Jeshi na wananchi.
Luteni kanali Bwegoge ametoa ombi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi06 Feb
TFF YAWAKA WACHEZAJI 9 WA KANEMBWA JKT KUWASILISHA UTETEZI
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Ngeleja: Uongozi si hati miliki
MAFANIKIO ni jambo la kujivunia kwa mwanasiasa yeyote aliyekabidhiwa dhamana ya uongozi wa taifa lolote lenye kiu ya kupiga hatua kubwa za kimaendeleo pamoja na kuboresha maisha ya wananchi wake....
10 years ago
Habarileo22 Feb
Miliki maeneo ya madini kufutwa
SERIKALI imetangaza kuanza kufuta umiliki wa maeneo yaliyotelekezwa na wachimba madini kote nchini, ikiwa ni pamoja na kunyang’anya leseni zilizoombwa na wachimbaji ambao wameshindwa kuzilipia.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_lx-SqJ5BPs/Vkje6PcIlbI/AAAAAAAIF-U/GJ96p1Txdjs/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
HATI MILIKI INAPOPOTEA, HARAKA CHUKUA HATUA HIZI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_lx-SqJ5BPs/Vkje6PcIlbI/AAAAAAAIF-U/GJ96p1Txdjs/s1600/images%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Mbatia: Mrema hana hati miliki Jimbo la Vunjo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kh4IBf9Ak0c/VJfrt9saoEI/AAAAAAAG4_c/MNfVQWj5YQo/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AKANUSHA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA KIGOMA KULA PESA YA TASAF
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka Urambo
SERIKALI imetuma kikosi maalum cha askari wa kupamba na ujangili Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora ili kukabiliana na nyoka aina ya Koboko ambao hadi sasa wamesababisha vifo vya watu wanne....
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Kijiji cha Gongoni wilayani Kilosa waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wanawake wapata hati miliki za ardhi