Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATI MILIKI INAPOPOTEA, HARAKA CHUKUA HATUA HIZI.

Hati miliki  ni  mali  inayohamishika  na  hivyo  inaweza kupotea.  Kupotea  kwa  hati miliki  kunaweza  kuwa  katika  mazingira  mengi.  Inaweza kupotea katika  mazingira ya  kuibiwa,  kufichwa  au  kutupwa  kwa  makusudi  kwa   malengo  mabaya  na  mazingira  mengine  yoyote  yanayofanana  na matukio  hayo.  Lakini   mara  kwa  mara  kupotea  kwa  hati  huhusishwa  na  mbinu  chafu  za  kubadilisha  umiliki   pasipo  uhalali  au  kutumika  katika  shughuli  za  kujipatia mikopo   pasi  na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KAULI HIZI NI DALILI YA MWANAUME KAKUCHOKA, CHUKUA HATUA!

Leo mpenzi msomaji wa safu hii, nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanandoa na wapenzi walioko kwenye uhusiano kwa muda mrefu kwani wengi hujikuta wameachwa na kuona kuwa ni ghafla kumbe hawakutambua kwa kujua ni utani. Kauli anazozitoa mwanaume wako ni wazi kabisa kuwa amekuchoka wengi hawazitambui sasa zisome kwa makini na uzielewe.Tukiachana sisi  si wa kwanza
Kauli kama hii mwanaume hawezi kukuambia mkiwa...

 

10 years ago

Michuzi

ILI KUBADILI HATI YA NYUMBA/KIWANJA KWA HARAKA ANDAA NYARAKA HIZI

Na  Bashir   Yakub.

Watu  wengi  wanaonunua  ardhi  wamekuwa  wakipata  usumbufu  mkubwa katika   kubadili  majina  yaani kutoka  mmiliki  wa  mwanzo  kwenda  kwa  mmilki mpya  aliyenunua. Upo  usumbufu ambao  husababishwa   kwa  makusudi na  maafisa  wanaohusika   lakini  pia  upo  usumbufu  ambao  husababishwa   na  watu  wenyewe  wanaotaka  kubadili  majina.  Awali  ya  yote  lazima  nikiri   kuwa  baadhi  ya  maafisa  wa  mamlaka  za  ardhi  husababisha  uchelewaji  kwa  makusudi  kabisa ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Uongozi si hati miliki

MAFANIKIO ni jambo la kujivunia kwa mwanasiasa yeyote aliyekabidhiwa dhamana ya uongozi wa taifa lolote lenye kiu ya kupiga hatua kubwa za kimaendeleo pamoja na kuboresha maisha ya wananchi wake....

 

10 years ago

Mwananchi

Mbatia: Mrema hana hati miliki Jimbo la Vunjo

Jina la James Mbatia siyo geni miongoni mwa Watanzania hususani Jimbo la Vunjo kwani ndiye alikuwa Mbunge wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1995.

 

11 years ago

Mwananchi

Jakamoyo husababisha mauti, chukua hatua kuliepuka

Binadamu anakabiliwa na hali ya maisha ambayo inamsababishia masumbufu yanayojulikana kama jakamoyo yaani mfadhaiko.

 

10 years ago

Vijimambo

PITIA HIZI PICHA NA CHUKUA TAADHALI HUKO BARABARANI



Kwa mtaji huu basi ndugu zetu wanaendelea kufupishwa maisha kila siku dreva wa basi anaona kabisa hapa kuna mlima na kuna kona  lakini bado ana ladhimisha kumpita mwenzie bila kujali usalama wa abiria ndani ya basi.
Hapa dreva wa basi anachokifanya ni uvunjaji wa sheria bila hata kujali watu waliondani ya basi hili
Madreva kama awa ni hatari sana kwa usalama wa abiria pata picha hapa nini kingetokea na basi hili la abiria na gari hili ndogo.

 

11 years ago

GPL

WATU BILIONI 2 WANAUMWA HOMA YA INI (HEPATITIS B) DUNIANI, CHUKUA HATUA

Virusi vya Hepatitis baada ya kulishambulia ini. Ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu. Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus).
Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho.
Watu takribani 1,000,000 wanapoteza maisha kila mwaka duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B)....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani