Jakamoyo husababisha mauti, chukua hatua kuliepuka
Binadamu anakabiliwa na hali ya maisha ambayo inamsababishia masumbufu yanayojulikana kama jakamoyo yaani mfadhaiko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ldPIfFy3ff14mbt6fmKw5AXdaZUljHfJrG1iNZDJUHKBni1RqNi9W4WpiR9*NYgKF-nkvCs-VSKdkja61yN00wnizK0fK7XA/highmaintenance.jpg?width=650)
KAULI HIZI NI DALILI YA MWANAUME KAKUCHOKA, CHUKUA HATUA!
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_lx-SqJ5BPs/Vkje6PcIlbI/AAAAAAAIF-U/GJ96p1Txdjs/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
HATI MILIKI INAPOPOTEA, HARAKA CHUKUA HATUA HIZI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_lx-SqJ5BPs/Vkje6PcIlbI/AAAAAAAIF-U/GJ96p1Txdjs/s1600/images%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7U-JG7rftqQvVWGjU-U0d7YVRwOKPkQ1T8iHMleCYHCY2h*bL8Nxt563Ss5ZCoSQumBiH3gx8R3WYQ6XWvOnZhVbEua-ttjM/hepatitiss1liverhepatitisvirus.jpg?width=650)
WATU BILIONI 2 WANAUMWA HOMA YA INI (HEPATITIS B) DUNIANI, CHUKUA HATUA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/08suhLcc98A/default.jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT BILAL AZINDUA KAMPENI YA CHUKUA HATUA MWAKA 2015
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4aya55KHLO8/XpnLjzyXEcI/AAAAAAALnQY/DIuXrfj8Xcg20HmAlUzcOvj5EjIQOu23QCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
NUNUA KINYWAJI BAA,CHUKUA KANYWEE NYUMBANI...UKIKAIDI TUNAKUCHUKULIA HATUA- DC MJEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4aya55KHLO8/XpnLjzyXEcI/AAAAAAALnQY/DIuXrfj8Xcg20HmAlUzcOvj5EjIQOu23QCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
WAKATI idadi ya wagonjwa wa Covid-19 nchini ikifikia 147, Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam imetangaza kupiga marufuku mikusanyiko ya watu kwenye baa zote ndani ya wilaya hiyo na kwamba wanywaji watalazimika kununua vinywaji na kwenda kunywea majumbani.
Marufuku hiyo imetangazwa leo Aprili 17 mwaka huu wa 2020 ,hivyo wamiliki na wahudumu wote wa baa wanatakiwa kufuata maelekezo hayo ambayo ni moja ya mkakati wa Kupambana na virusi vya Corona.
Mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iAAnDKnbiwo/VVLy5a1u9GI/AAAAAAAHW9Y/bE1dDhAq1NE/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: ALIPWA USD 90,000 KWA KUISHTAKI KAMPUNI YA SIMU, NA WEWE CHUKUA HATUA SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-iAAnDKnbiwo/VVLy5a1u9GI/AAAAAAAHW9Y/bE1dDhAq1NE/s320/1.1774256.jpg)
Makampuni ya simu kama Vodacon, Airtel, Tigo, Zantel, Sasatel, na mengineyo yamekuwa yakitenda makosa mbalimbali kwa wateja wao. Mara kwa mara wateja wa simu wamekuwa wakilalamikia matendo ya makampuni haya lakini wengi wao wamekuwa hawachukui hatua zaidi ya kulalamika. Ni watu wachache mno ambao wamekwishachukua hatua za kisheria dhidi ya makampuni haya licha ya uonevu mkubwa wa kihuduma wanaousababisha. Ukiangalia kwa...
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Riyama Awataja Mawakala wa Mauti,Wewe Je ni ‘Wakala wa Mauti’?
Staa wa Bongo Movies aliejijengea heshma kwa mashabiki kwa kazi zake, Riyama Ally anakuja na filamu mpya, kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi‘Albinos’inayokwenda kwa jina la Wakala wa Mauti.
“Hii ni kazi ya mikono yangu namuomba mungu anijalie iwe miongoni mwa kazi bora inshallah amin.....”Riyama alidokeza.
Akionyesha baadhi ya picha za filamu hiyo mtandaoni Riyama alisema “Hivi ni baadhi ya kipindekipinde cha filamu yangu mpya " Wakala wa Mauti " anae wadhulumu ndugu zetu ma...
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.