NUNUA KINYWAJI BAA,CHUKUA KANYWEE NYUMBANI...UKIKAIDI TUNAKUCHUKULIA HATUA- DC MJEMA

Said Mwishehe, Michuzi TV
WAKATI idadi ya wagonjwa wa Covid-19 nchini ikifikia 147, Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam imetangaza kupiga marufuku mikusanyiko ya watu kwenye baa zote ndani ya wilaya hiyo na kwamba wanywaji watalazimika kununua vinywaji na kwenda kunywea majumbani.
Marufuku hiyo imetangazwa leo Aprili 17 mwaka huu wa 2020 ,hivyo wamiliki na wahudumu wote wa baa wanatakiwa kufuata maelekezo hayo ambayo ni moja ya mkakati wa Kupambana na virusi vya Corona.
Mkuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Jakamoyo husababisha mauti, chukua hatua kuliepuka
9 years ago
GPL
KAULI HIZI NI DALILI YA MWANAUME KAKUCHOKA, CHUKUA HATUA!
9 years ago
Michuzi
HATI MILIKI INAPOPOTEA, HARAKA CHUKUA HATUA HIZI.

11 years ago
GPL
WATU BILIONI 2 WANAUMWA HOMA YA INI (HEPATITIS B) DUNIANI, CHUKUA HATUA
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT BILAL AZINDUA KAMPENI YA CHUKUA HATUA MWAKA 2015
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: ALIPWA USD 90,000 KWA KUISHTAKI KAMPUNI YA SIMU, NA WEWE CHUKUA HATUA SASA

Makampuni ya simu kama Vodacon, Airtel, Tigo, Zantel, Sasatel, na mengineyo yamekuwa yakitenda makosa mbalimbali kwa wateja wao. Mara kwa mara wateja wa simu wamekuwa wakilalamikia matendo ya makampuni haya lakini wengi wao wamekuwa hawachukui hatua zaidi ya kulalamika. Ni watu wachache mno ambao wamekwishachukua hatua za kisheria dhidi ya makampuni haya licha ya uonevu mkubwa wa kihuduma wanaousababisha. Ukiangalia kwa...
5 years ago
CCM Blog
DC MJEMA:WANANCHI ACHENI 'KUWAVURUGA' WAKANDARASI


Baadhi ya wadau wakisikiliza kwa...
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.