Malima aipongeza Halmashauri ya Bunda kwa hati safi
![](https://1.bp.blogspot.com/-6Ap2_-SAeSg/Xt4uKsv2pwI/AAAAAAALtB4/gwkldbkIxsk-3hlfr17NeLSdC0FjB7hQgCLcBGAsYHQ/s72-c/38915-adam2bmalima2beyopah.jpg)
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO
Mkuu wa Mkoa wa Mara ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017.
Akizungumza hivi karibuni wakati wa uwasilishaji wa hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Selikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019, Mkuu wa mkoa wa Mara, Adam Malima aliipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kupata hati safi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2016/2017,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Feb
Kwa miaka 5 hakuna h/shauri yenye hati safi
IMEELEZWA kuwa kwa miaka mitano mfululizo hakuna halmashauri nchini iliyopata hati safi.
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
JK aipongeza Ujerumani kwa kutwaa Kombe la Dunia, apokea hati za utambulisho wa mabalozi wanne leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) ameipongeza Ujerumani kwa kutwaa Kombe la Dunia mwaka huu.
Rais Kikwete ametoa pongezi hizo kwa Balozi mpya wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani Mheshimiwa Egon Kochanke ambaye amewasilisha Hati zake za Utambulisho leo asubuhi Ikulu .
“Naipongeza Ujerumani kwa kuibuka washindi natumaini tutashirikiana vyema katika masuala ya utamaduni hasa hasa katika kuinua kiwango cha soka nchini Tanzania na kuzisaidia klabu za Tanzania kuanzisha shule maalum kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0499-768x513.jpg)
Manispaa ya Sumbawanga yang’ara kimapato huku wakipata hati safi kwa miaka mitatu
![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0499-768x513.jpg)
Wakati akitoa salamu zake katika kikao cha Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo kuhusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JRqO7jXBvy8/XteqoYQbmPI/AAAAAAALsg0/xaEecqgYF4MHsO6-TM1RHvSePtHC1Mm6ACLcBGAsYHQ/s72-c/cf164921-7add-4f13-8526-11c9018e3cd6.jpg)
KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUPATA HATI SAFI MIAKA MITANO MFULULIZO .
![](https://1.bp.blogspot.com/-JRqO7jXBvy8/XteqoYQbmPI/AAAAAAALsg0/xaEecqgYF4MHsO6-TM1RHvSePtHC1Mm6ACLcBGAsYHQ/s640/cf164921-7add-4f13-8526-11c9018e3cd6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/88ddfb52-3c2c-4be1-95b8-c2d8e21628ea.jpg)
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni,Mhe. Benjamini Sitta akifuatilia hoja iliyokuwa ikiwasilishwa na Mkaguzi mkuu wa hesabu za nje, kulia ni Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0eeb8015-7735-486a-a877-5a2d94dd9229.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Halmashauri za Mwanza vinara hati isiyoridhisha
HALMASHAURI za Jiji la Mwanza zimeelezwa kuongoza kwa kuwa na hati isiyoridhisha baada ya kufanyiwa ukaguzi wa mahesabu yake na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG). Wakati hali ikiwa...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Rorya waipa halmashauri yao hati yenye shaka
10 years ago
MichuziJKT KANEMBWA YAIOMBA HALMASHAURI YA KIGOMA KUMALIZA MCHAKATO WA KUKIPATIA HATI MILIKI YA MAENEO YA KIKOSI
KAMANDA wa Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 824 KJ cha Kanemwa wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma Luteni Kanali Erasmus Bwegoge ameomba Halmashauri ya wilaya hiyo kutilia mkazo na kuhitimisha mchakato wa kupata hati miliki ya maeneo ya kikosi hicho ili kuondoa uwezekano wa wananchi kuvamia maeneo hayo jambo ambalo linaweza kuzua migogoro na kuhatarisha mahusiao baina ya Jeshi na wananchi.
Luteni kanali Bwegoge ametoa ombi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma...