Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAISHI KWA MAZOEA? SHAURI YAKO!

HayaHAYA, tumekutana tena kupeana mawili matatu kuhusiana na maisha yetu ya kila siku. Kwa kweli wanawake kuishi kwa mazoea kumekuwa kukiongeza nyumba ndogo kila kukicha. Leo nataka nikupashe upashike kosa lako la kuishi kimazoea kumefanya mapenzi yapungue ndani ya nyumba nyingi.
Nyumba nyingi siku hizi zimepoteza mapenzi ya zamani kufikia hatua ya kuonana kaka na dada, kinachotofautisha ni makutano ya kimwili lakini zaidi ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HAUMUAMINI, UNAISHI NAYE KWA MACHALE, MAANA YAKE NINI? JIONGEZE!

NIMEFURAHI tumekutana tena katika safu yetu hii tunapata kujuzana masuala mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.Ni mambo ya mahaba, hujakosea. Hapa tunaongeza maarifa ya mapenzi kila uchwao, karibu.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Natambua wengi tu wanaishi kwenye uhusiano wa namna hii. Utakuta mtu anaishi kwa muda mrefu na mwenzake pasipo kuwa na imani naye. Anakuwa mguu ndani mguu nje kwamba yupo tayari kwa...

 

10 years ago

GPL

HAUMUAMINI, UNAISHI NAYE KWA MACHALE, MAANA YAKE NINI? JIONGEZE!-2

WIKI iliyopita tuliianza mada yetu hii ya mtu kuishi na mtu kwa machale ambaye humuamini. Ndugu zangu kama nilivyoeleza wiki iliyopita, kuishi na mtu kwa machale ni hatari maana mwishoni utaambulia matatizo kama si kupoteza muda. Nilieleza kwamba mbali na kupoteza muda katika penzi hilo la mtu ambaye haumuamini, hautainjoi mapenzi kwani muda mwingi wewe utakuwa ukiutumia kumchunguza mwenzako. Utakuwa unaishi kwa wasiwasi kwamba...

 

9 years ago

Habarileo

Acheni kufanyakazi kwa mazoea-Ummy

SERIKALI imewataka watumishi wa sekta ya afya nchini kutofanya kazi kwa mazoea na badala yake kufanya kazi kwa bidii na uadilifu ili kufikia malengo yaliyowekwa. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kurahisisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi kwa kutoa huduma bora na zinazofikiwa kwa wakati.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kairuki: Tuache kufanya kazi kwa mazoea

Sheria 1

Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Fanuel Mbonde akijaribu baiskeli ya mazoezi aliyokabiodhiwa kama zawadi katika hafla ya kuwapongeza watumishi wa Wizara waliostaafu iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki na kulia ni Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi.

Na Mwandishi Wetu

Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakumbushwa kuwa chachu ya mabadiliko katika utumishi wa umma na kuondokana na utendaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wa klabu acheni kuongoza kwa mazoea

Klabu zetu za Ligi Kuu mara kwa mara zimekuwa zikitafuta fedha kwa ajili ya kujiandaa, kwani zimekuwa zikipata fedha ambazo haziwatoshi kutoka kwa wadhamini wa Ligi Kuu Kampuni ya Vodacom.

 

10 years ago

Michuzi

Tuache kufanya kazi kwa mazoea - Kairuki

Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Fanuel Mbonde akijaribu baiskeli ya mazoezi aliyokabiodhiwa kama zawadi katika hafla ya kuwapongeza watumishi wa Wizara waliostaafu iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki na kulia ni Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akimkabidhi zawadi Mtunza Kumbukumbu Mstaafu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi....

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu ni kufanya kazi kwa mazoea

Ninakumbuka nilisema wiki jana kuwa tatizo letu kubwa linalotusumbua Watanzania  ni  kupenda zaidi kusema, lakini siyo watendaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani