Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAUMUAMINI, UNAISHI NAYE KWA MACHALE, MAANA YAKE NINI? JIONGEZE!

NIMEFURAHI tumekutana tena katika safu yetu hii tunapata kujuzana masuala mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.Ni mambo ya mahaba, hujakosea. Hapa tunaongeza maarifa ya mapenzi kila uchwao, karibu.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Natambua wengi tu wanaishi kwenye uhusiano wa namna hii. Utakuta mtu anaishi kwa muda mrefu na mwenzake pasipo kuwa na imani naye. Anakuwa mguu ndani mguu nje kwamba yupo tayari kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HAUMUAMINI, UNAISHI NAYE KWA MACHALE, MAANA YAKE NINI? JIONGEZE!-2

WIKI iliyopita tuliianza mada yetu hii ya mtu kuishi na mtu kwa machale ambaye humuamini. Ndugu zangu kama nilivyoeleza wiki iliyopita, kuishi na mtu kwa machale ni hatari maana mwishoni utaambulia matatizo kama si kupoteza muda. Nilieleza kwamba mbali na kupoteza muda katika penzi hilo la mtu ambaye haumuamini, hautainjoi mapenzi kwani muda mwingi wewe utakuwa ukiutumia kumchunguza mwenzako. Utakuwa unaishi kwa wasiwasi kwamba...

 

10 years ago

GPL

MWAKA 2014 UNAISHIA NA HUJAFANYA CHA MAANA, WHY? KWA NINI?

Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa upendo aliouonesha kwangu na kuniwezesha kuiona siku ya leo nikiwa mzima. Nadiriki kushukuru kwa sababu, wapo waliotamani kuiona wiki hii wakiwa wazima lakini baadhi wameshaondoka kwenye ardhi hii huku wengine wakiwa hoi mahospitalini na majumbani. Ndugu zangu, mwaka ndiyo huo unakaribia kuisha. Najua wapo wanaoumaliza wakiwa wamefanya mambo makubwa lakini pia wapo ambao mioyo yao imesinyaa kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWAKA 2014 UNAISHIA NA HUJAFANYA CHA MAANA, WHY? KWA NINI?

Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa upendo aliouonesha kwangu na kuniwezesha kuiona siku ya leo nikiwa mzima. Nadiriki kushukuru kwa sababu, wapo waliotamani kuiona wiki hii wakiwa wazima lakini baadhi wameshaondoka kwenye ardhi hii huku wengine wakiwa hoi mahospitalini na majumbani.

Ndugu zangu, mwaka ndiyo huo unakaribia kuisha. Najua wapo wanaoumaliza wakiwa wamefanya mambo makubwa lakini pia wapo ambao mioyo yao imesinyaa kwa kuwa, waliyopanga kuyafanikisha hayakutimia.

Mimi nataka kuwatia...

 

10 years ago

GPL

HUMPENDI? KWA NINI UZAE NAYE?

HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu yetu hii, tunaokutana kila wiki katika kuburudishana, kuelimishana na mara nyingine hata kufundishana. Najua wapo baadhi ya wasomaji hawakosi kabisa sehemu hii kwa sababu yanayozungumziwa, ama yamewakuta, au wanashiriki hadi sasa, au yaliwahi kuwapata watu wao wa karibu. Katika jamii tunayoishi kuna mambo mengi yanayoendelea ambayo huonyesha jinsi gani wawili walivyohusiana kimapenzi, lakini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni nini maana ya shughuli za kimwili?

WIKI iliyopita makala ililenga sababu na faida  za mazoezi na hatari ya kukaa bila zoezi au maisha ya kutojishughulisha. Makala ya wiki hii tutajadili nini maana ya shughuli za kimwili ...

 

9 years ago

Bongo5

Baba yake Paul Walker naye awashtaki Porsche kwa kifo cha mwanae

Paul-Walker

Baba yake na Paul Walker Jumatano hii amewasilisha mashtaka dhidi ya kampuni ya magari ya Porsche akidai kuwa gari ambalo mwanae alikuwa akiendesha lilikosa vitu vya kiusalama ambavyo vingeweza kuokoa maisha yake.

Paul-Walker

Muigizaji huyo wa Fast & Furious alifariki November 2013 kwenye ajali mbaya ya gari huko Santa Clarita, Calif., iliyomuua pia rafiki yake Roger Rodas, dereva wa gari aina ya 2005 Porsche Carrera GT.

Mashtaka hayo ni kama yale yaliyowasilishwa na mtoto wa Meadow, ...

 

11 years ago

GPL

UNAISHI KWA MAZOEA? SHAURI YAKO!

HayaHAYA, tumekutana tena kupeana mawili matatu kuhusiana na maisha yetu ya kila siku. Kwa kweli wanawake kuishi kwa mazoea kumekuwa kukiongeza nyumba ndogo kila kukicha. Leo nataka nikupashe upashike kosa lako la kuishi kimazoea kumefanya mapenzi yapungue ndani ya nyumba nyingi.
Nyumba nyingi siku hizi zimepoteza mapenzi ya zamani kufikia hatua ya kuonana kaka na dada, kinachotofautisha ni makutano ya kimwili lakini zaidi ya...

 

10 years ago

GPL

VALENTINES DAY IMEFIKA, TUSIPOTOSHE MAANA YAKE

Valentines Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao, huadhimishwa kila Februari 14 ambapo kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, siku hiyo inazidi kuwa maarufu na kuadhimishwa kwa shangwe ingawa wengi hushindwa kuelewa hasa maana yake. Ukiwauliza wengi nini hasa maana ya Valentines Day, ni wachache wanaoweza kukueleza kwa ufasaha maana yake na kwa sababu hiyo, wengi wanakuwa na kawaida ya kuiadhimisha siku hiyo kwa mazoea tu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani