Ni nini maana ya shughuli za kimwili?
WIKI iliyopita makala ililenga sababu na faida za mazoezi na hatari ya kukaa bila zoezi au maisha ya kutojishughulisha. Makala ya wiki hii tutajadili nini maana ya shughuli za kimwili ...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIttQFVgam8gkM-KaQkp5rX*JiZjqeiMRvIhR8aztMNO4TDzKx6j3R-iVOhhaGOOTof9KfArs4LXwnPWQNx2IDVJ/yolandaspivey_blackwomanpretendstobewhitetogetjob1.jpg?width=650)
MWAKA 2014 UNAISHIA NA HUJAFANYA CHA MAANA, WHY? KWA NINI?
Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa upendo aliouonesha kwangu na kuniwezesha kuiona siku ya leo nikiwa mzima. Nadiriki kushukuru kwa sababu, wapo waliotamani kuiona wiki hii wakiwa wazima lakini baadhi wameshaondoka kwenye ardhi hii huku wengine wakiwa hoi mahospitalini na majumbani. Ndugu zangu, mwaka ndiyo huo unakaribia kuisha. Najua wapo wanaoumaliza wakiwa wamefanya mambo makubwa lakini pia wapo ambao mioyo yao imesinyaa kwa...
10 years ago
Vijimambo19 Dec
MWAKA 2014 UNAISHIA NA HUJAFANYA CHA MAANA, WHY? KWA NINI?
![](http://api.ning.com/files/iJVROLF4NIttQFVgam8gkM-KaQkp5rX*JiZjqeiMRvIhR8aztMNO4TDzKx6j3R-iVOhhaGOOTof9KfArs4LXwnPWQNx2IDVJ/yolandaspivey_blackwomanpretendstobewhitetogetjob1.jpg?width=650)
Ndugu zangu, mwaka ndiyo huo unakaribia kuisha. Najua wapo wanaoumaliza wakiwa wamefanya mambo makubwa lakini pia wapo ambao mioyo yao imesinyaa kwa kuwa, waliyopanga kuyafanikisha hayakutimia.
Mimi nataka kuwatia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPeWUIaFYcI6nImKgxiBI7iu7-aRwTV10hIoiXYsOzO4ew7t7sXaA4OgAbA90w0vuK3xnZInGgUGAi0la-Rq7X*/mahaba.jpg?width=650)
HAUMUAMINI, UNAISHI NAYE KWA MACHALE, MAANA YAKE NINI? JIONGEZE!
NIMEFURAHI tumekutana tena katika safu yetu hii tunapata kujuzana masuala mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.Ni mambo ya mahaba, hujakosea. Hapa tunaongeza maarifa ya mapenzi kila uchwao, karibu.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Natambua wengi tu wanaishi kwenye uhusiano wa namna hii. Utakuta mtu anaishi kwa muda mrefu na mwenzake pasipo kuwa na imani naye. Anakuwa mguu ndani mguu nje kwamba yupo tayari kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSVKNVakYPU4KKZRCLIcET*WonEaQzofqfJcWpZurcdt64KJpJaTwqA-4U9ir7B1Ow4fv63ppGJIoqy65gaIAQu2/MAHABA.gif?width=650)
HAUMUAMINI, UNAISHI NAYE KWA MACHALE, MAANA YAKE NINI? JIONGEZE!-2
WIKI iliyopita tuliianza mada yetu hii ya mtu kuishi na mtu kwa machale ambaye humuamini. Ndugu zangu kama nilivyoeleza wiki iliyopita, kuishi na mtu kwa machale ni hatari maana mwishoni utaambulia matatizo kama si kupoteza muda. Nilieleza kwamba mbali na kupoteza muda katika penzi hilo la mtu ambaye haumuamini, hautainjoi mapenzi kwani muda mwingi wewe utakuwa ukiutumia kumchunguza mwenzako. Utakuwa unaishi kwa wasiwasi kwamba...
10 years ago
Michuzi17 Apr
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uBk0ucRwM6s/VLxHl68lPpI/AAAAAAADWFY/Lr1IwFNfIAo/s72-c/Planets.jpg)
UCHAWI:1 NINI MAANA YA UCHAWI?
![](http://1.bp.blogspot.com/-uBk0ucRwM6s/VLxHl68lPpI/AAAAAAADWFY/Lr1IwFNfIAo/s1600/Planets.jpg)
Al Azhari ambaye nimtungaji wa kamusimaarafu ya kiarabu iitwayo“LisanulArab” amesema:“Neno “Uchawi”, kwakiarabu “As Sihr”, maanayake ni kitendo chakujikurubisha na shetani nakwa msaada wake(shetani)”, na akasema piakuwa; “Uchawi nikulibadilisha jambo mbali nauhakika wake, nako nikuwadhihirishia watu jambolisilo la kweli wakalionakuwa ni la kweli.”Ama Sahaba Ibni Abbas(Radhiya Llaahu ‘anhu)amesema:"Uchawi ni kuidhirisha batilikatika sura ya haki."Hayo ni katika kamusi zalugha.Amma katika...
10 years ago
Habarileo28 Aug
Shahidi aeleza alivyoingiliwa kimwili na mganga
SHAHIDI wa pili katika kesi ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu inayomkabili mganga wa kienyeji, Yahaya Michael (34) ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala jinsi alivyoingiliwa kimwili na mganga huyo kwa madai kwamba atampatia dawa ya kupata mtoto.
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Fistula inavyowaathiri wanawake kimwili, kisaikolojia
Jumamosi iliyopita ilikuwa ni siku ya maadhimisho ya kuhamasisha mapambano dhidi ya tatizo la fistula duniani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-C*snTBrYpyQcMwspEWnoZi2aU5frnkZHgwnviBQnKbODCFKZsLO7vOz1TGZjZxh2ZKQZ*bv3-0lIqxtuvAFyih/wema.jpg?width=650)
MAMA KANUMBA: WEMA ZAA FASTA
Stori: MAYASA MARIWATA
MAMA wa aliyekuwa nguli wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amempa darasa la kuzaa haraka mwigizaji Wema Sepetu na mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Msanii wa filamu Bongo Wema Sepetu. Mama Kanumba alifunguka hayo hivi karibuni alipokuwa akipiga stori na mwanahabari wetu ambapo alipotakiwa kutoa ushauri juu ya penzi la Wema aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanaye, mama huyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania