Acheni kufanyakazi kwa mazoea-Ummy
SERIKALI imewataka watumishi wa sekta ya afya nchini kutofanya kazi kwa mazoea na badala yake kufanya kazi kwa bidii na uadilifu ili kufikia malengo yaliyowekwa. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kurahisisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi kwa kutoa huduma bora na zinazofikiwa kwa wakati.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Viongozi wa klabu acheni kuongoza kwa mazoea
9 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AWATAKA WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA
11 years ago
Habarileo10 May
Mambo ya Ndani washauriwa kufanyakazi kwa weledi
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amewaasa wafanyakazi wa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kufikia malengo waliyojiwekea.
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Chanzo ya malaria kufanyakazi kwa asilimia 100
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G5k6nnvppHY/U13-6qTwywI/AAAAAAAFdng/ET8k1FsVTU8/s72-c/Saada+Mkuywa+Naibu+Waziri+wa+Fedha.jpg)
Wafanyakazi Wizara ya Fedha waaswa kufanyakazi kwa bidii na kujituma
![](http://4.bp.blogspot.com/-G5k6nnvppHY/U13-6qTwywI/AAAAAAAFdng/ET8k1FsVTU8/s1600/Saada+Mkuywa+Naibu+Waziri+wa+Fedha.jpg)
Wafanyakazi Wizara ya Fedha wameaswa kufanyakazi kwa bidii na kujituma kwa moyo ili kukuza uchumi wa nchi na taifa liweze kusonga mbele na kufikia malengo yake.
Kauli hiyo imetolewa na Mgeni Rasmi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum wakati wa kufungua mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo hivi karibuni jijini Dar es salaam.
“Mnapokuwa kwenye mkutano wenu mjadili bajeti bila kuwa na woga kwa kutumia weledi wenu mlionao na kutoa ushauri...
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!
baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko
Na.Jumbe Ismailly.
[Ikungi-SINGIDA] Mkuu wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsVV6mDOlzVUDDffgvwZ00fR1-Ci7Bw*WrUv-XgMAhv0kBFD8fPSFtme1tfcTI-fZ0X2X*lXKSGxCU8ZGmqdjEu/romantic_girl2560x1600.jpg?width=650)
UNAISHI KWA MAZOEA? SHAURI YAKO!
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
10 years ago
MichuziTuache kufanya kazi kwa mazoea - Kairuki