KUMBUKUMBU YA MIAKA 7 YA KIFO CHA MZEE SHAURI TIMOTHEO NATHAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-HCuCdswRaH0/Ujk38lhxnpI/AAAAAAAALvc/WSVm_5TonHw/s72-c/ST.jpg)
Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925-18/09/2007) Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika saba sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925-18/09/2007) ututangulie Mbele za haki kama ulivyotutangulia kuja duniani Tarehe 18/08/2025.
Nimajonzi sana kwetu hasa ukizingatia kuwa uliondoka katika tarehe ambayo kitinda mimba wako Mroki Mroki alizaliwa na ni siku kumi tu baada ya kufunga ndoa Mroki "Father Kidevu".
Unakumbukwa na wengi sana maana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sDGiPzTmUwk/VIFypD3Sl-I/AAAAAAACv7U/_FSc0PzF2wM/s72-c/New%2BPicture.png)
Kumbukumbu ya kifo miaka 9 ya Mzee Donati Kezirahabi
![](http://1.bp.blogspot.com/-sDGiPzTmUwk/VIFypD3Sl-I/AAAAAAACv7U/_FSc0PzF2wM/s1600/New%2BPicture.png)
Ni miaka 9 tangu ulipotangulia katika makazi yako ya milele siku ile ya huzuni 5 Dec 2005. Tunakumbuka kwa huzuni upendo na uongozi wako katika familia. Miongozo na mapenzi makubwa uliyotupa ndio yanayotuwezesha kusimama na kumsifu Bwana kila siku.
Unakumbukwa sana na mke wako Hidaya Kezirahabi, watoto wako wapenzi na wajukuu, ndugu, jamaa na marafiki wote.
“Bwana akupatie...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jEvs4iaCsmA/VeZqEcX5uZI/AAAAAAAH1s8/whaKl6Id9a0/s72-c/IMG_20150901_132357.jpg)
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MZEE MANG'ANYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jEvs4iaCsmA/VeZqEcX5uZI/AAAAAAAH1s8/whaKl6Id9a0/s320/IMG_20150901_132357.jpg)
We thought of you with love today,But that is nothing new.We thought about you yesterday.And days before that too.We think of you in silence.We often speak your name.Now all we have is memories.And your picture in a frame.Your memory is our keepsake.With which we'll never part.God has you in his keeping.We have you in our heart.We as family will remember all you taught usWe are hurt but we won't be sadBecause he'll send us...
10 years ago
Vijimambo07 Apr
LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME
![](http://i.ytimg.com/vi/0shB_WGlYeU/hqdefault.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EgUmloTQir4/Vh4On2Sc_dI/AAAAAAAH_5k/FQp_ML9W0nE/s72-c/IMG_3237.jpg)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 2 YA KIFO CHA ELIFADHILI MKAZE MNZAVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-EgUmloTQir4/Vh4On2Sc_dI/AAAAAAAH_5k/FQp_ML9W0nE/s200/IMG_3237.jpg)
Mpendwa mume wangu, leo umetimiza miaka 2 tangu ulipotangulia nyumbani kukaa na Bwana Yesu.
Tunamshukuru Mungu kwa kutupa sehemu ya maisha yako ambayo yamekuwa ni baraka kubwa kwetu. Tunakukumbuka kwa upendo wako, ukarimu na uwajibikaji wako.
Daima unakumbukwa na mimi mkeo, watoto wako, wakwe zako, wajukuu wako, ndugu na marafiki. Pumzika kwa amani tutaonana tena Mbinguni kwa Baba.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QqptCg_25_w/U8EPSUwplsI/AAAAAAAF1fc/x0L5luLdqtY/s72-c/PIX+1-MR+MAKENE.png)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA KIFO CHA BW & BI EUSTACE MAKENE
![](http://3.bp.blogspot.com/-QqptCg_25_w/U8EPSUwplsI/AAAAAAAF1fc/x0L5luLdqtY/s1600/PIX+1-MR+MAKENE.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s_JJThPNGE0/U8EPTLKoblI/AAAAAAAF1fg/Zx89WGkJEtI/s1600/PIX+2-MRS+MAKENE.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT2eNyXXafxvHX1r5JG3q22VOsK0qDEu4VKRjw32eJuH8-HWOOzBbJJcE7ysXxOH3ZZ8euDa0tR3H*L8IN4ZfTzN/NYERERE.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 15 TANGU KIFO CHA MWALIMU NYERERE
10 years ago
Vijimambo14 Oct
9 years ago
Vijimambo14 Oct
LEO NI MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2912672/highRes/1147061/-/maxw/600/-/l336uv/-/Nyerere.jpg)
By Pius Msekwa
Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake. Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamu”.
Lakini yapo mambo mengine mengi ya uongozi wake ambayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jjGN3SPqjTQ/XrBtJgasbyI/AAAAAAALpHw/VQpkkwhiMagTVY_Ew4V6_gcwsYsznPXeQCLcBGAsYHQ/s72-c/ru.jpg)
KUMBUKUMBU YA MIAKA MITANO YA KIFO CHA MWALIMU NOVATI SIMEON RUTAGERUKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jjGN3SPqjTQ/XrBtJgasbyI/AAAAAAALpHw/VQpkkwhiMagTVY_Ew4V6_gcwsYsznPXeQCLcBGAsYHQ/s1600/ru.jpg)
TAREHE 5 - MEI UMETIMIZA MIAKA MITANO TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI. PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA.
UNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WAKO FLORIDA, ILLUMINATA, LIBERATA, DUNSTAN, JOYCE NA EDWIN PAMOJA NA WAKWE, WAJUKUU, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI.
IBADA YA MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MWALIMU RUTAGERUKA ITAADHIMISHWA SIKU YA JUMANNE TAREHE 5 - MEI - 2015, KATIKA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH, DAR-ES-SALAAM, SAA 11.30 JIONI.
BWANA ALITOA, BWANA...