Mzimbabwe aichambua Yanga SC
Kocha wa Platinum ya Zimbabwe, Norman Mapeza ametangaza vita jijini Dar es Salaam atakapotua na kikosi chake kuikabili Yanga, Jumapili katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLLogarusic aichambua Yanga
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi wetu
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amekishuhudia kikosi cha Yanga kwa dakika 90 wakati kikitoka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya KMKM lakini akaibuka na hoja mbili muhimu huku moja kati ya hizo akisema kocha wa kikosi hicho amemdanganya. Akizungumza na Championi Jumatatu, Logarusic, maarufu kwa jina la Loga, amesema ameiangalia Yanga ikicheza mchezo huo juzi Uwanja...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Kocha Al Ahly aichambua Yanga
Kocha Msaidizi wa Al Ahly, Ahmed Ayoub ameichambua Yanga kwa kusema ni timu bora katika kushambulia, lakini si nzuri kwenye safu ya ulinzi.
10 years ago
Mwananchi06 Aug
USAJILI : Mzimbabwe atua Yanga
Kiungo wa FC Platinum ya Zimbabwe, Thabani Kamusoko amewasili nchini kukamilisha uhamisho wake kujiunga na Yanga na kusema hakuja Tanzania kukalia benchi.
10 years ago
Vijimambo29 May
Yanga safi kwa Mzimbabwe, Simba yakwama kwa Mavugo
![](http://api.ning.com/files/5wu8U2MaqbiIzZtKrnNmE56xoZWtOlqiPAp30XO*4RBtcLoLMfKi-NaTZ0C5Gdigaq8AnGbMpWzXYoff4gnpmYLFJDAN*bl8/donaldngoma.jpg)
Dinaldo Ngoma, FC Platinum ya Zimbambwe.
Nicodemus Jonas na Hans MloliMBIO za usajili zinazidi kukolea, Yanga imemalizana na Dinaldo Ngoma wa FC Platinum ya Zimbambwe, wakati upande wa pili wapinzani wao, Simba wanaweza kukwama kumnasa straika Mrundi, Laudit Mavugo kutokana na Klabu ya Vital’O kuonekana kuweka ngumu.Yanga wameeleza kuwa wamemalizana na mchezaji huyo lakini wanachosubiri ni tamko la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya kuongeza idadi ya wachezaji wa kimataifa.Katibu Mkuu...
11 years ago
Mwananchi13 May
Kocha Nigeria aichambua Ngorongoro
>Kocha wa timu ya taifa ya vijana ya Nigeria chini ya Miaka 20, Manu Garba, amewachunguza wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ya umri huo (Ngorongoro) na kusema kuwa wana tatizo la kukosa nidhamu ya mchezo.
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kiungo Mzimbabwe atua Simba
KIUNGO mkabaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Justice Majabvi aliwasili jana na kwenda moja kwa moja katika kambi ya Simba iliyopo Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi14 Aug
Kiungo Mzimbabwe asaini Simba
Kiwango kizuri kilichoonyeshwa na kiungo Mzimbabwe aliyekuwa kwenye majaribio, Justice Majabvi kimeifanya klabu ya Simba kumpa mkataba wa miaka miwili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania