DAVID KAFULILA ASHUSHA NONDO AICHAMBUA SERIKALI YA JPM, ADAI TANZANIA YAPAA KIMATAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ka0MdfoApXo/XsKSsz_GrOI/AAAAAAALqr8/AXdHmKElp8gpPIJ_vMPZ0cb8Ik_XuyjaQCLcBGAsYHQ/s72-c/n3-6y8fF_400x400.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Kafulila adai Serikali inataka kumuua
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema endapo itatokea kwa namna yoyote akafa, mhusika mkuu wa kifo chake itakuwa “Serikali ya CCM†na ameagiza kuwa kamwe wasifike kwenye msiba wake wala kutoa rambirambi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cMo845SLBX1xJ5QGibyfLhmNVTCW4gYCFnGGrc6*ZdlQLhT*0VFOI9ddxVfwp7b57G9OtZEiJSfRtK8JAa1T3Rf98jzsN7qc/KAFULILA.jpg)
DAVID KAFULILA NA JESSICA KISHOA WALIVYOMEREMETA
Mbunge wa Kigoma Kusini, Mhe. David Kafulila akiwa na mai waifu wake Jessica Kishoa wakijiandaa kukata utepe wa kuingia katika mnuso kwenye ukumbi wa Annex uliopo Uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014. Mhe. David Kafulila na mai waifu wake Jessica Kishoa pamoja na wapambe wao Mhe. Deo…
10 years ago
IPPmedia15 Jun
Kigoma South legislator, David Kafulila
IPPmedia
IPPmedia
Some Members of Parliament and top government officials have been associated with tax evasion, with stakeholders demanding that the law take its course. Speaking at a 2015/16 budget review session over the weekend in Dar es Salaam, stakeholders ...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
David Kafulila live ndani ya HotMix — EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond
Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulile Mh. Kafulila ameeleza kuwa kabla ya kumkaribisha Lowassa walikaa vikao vya kina vya kumuhoji Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa, na aliweka wazi na kuthibitisha kuwa muhusika wa Richmond ni Kikwete.Amemtaja […]
The post David Kafulila live ndani ya HotMix – EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1Mp5hJoL1J58ERxNMRiJ0W9usqZNDzwAgCYVvDx*I1G5u12EJQnq4v2T6dcEcZNjWM-4B2XZH4ngB9HBcLczRQ/1.jpg)
DAVID KAFULILA ALIVYOSHANGILIWA BAADA YA KUWASILISHA MAPENDEKEZO YA KAMATI YAKE NAMBA 5 JANA
Mwakilishi wa walio wachache katika kamati namba tano, Mhe. David Kafulila akiwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake na Deusdedit Moshi.
Mwakilishi wa walio wachache katika kamati namba tano, Mhe. David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe baada ya kuwasilisha mapendekezo yao.…
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g2I0PufesZM/U0axrcwEmTI/AAAAAAAFZt8/wwfVFXp7Fhc/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Mwakilishi wa walio wachache bunge maalum la katiba Mhe.David Kafulila ashangiliwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-g2I0PufesZM/U0axrcwEmTI/AAAAAAAFZt8/wwfVFXp7Fhc/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-79zx7rr90Ys/U0axuIfsCeI/AAAAAAAFZuQ/rFOqvawLLDw/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eMTJVVdQhVw/U0axuTqh_uI/AAAAAAAFZuI/tZoWTUA7V_4/s1600/unnamed+(14).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aREWlR-eA9k/VHGEnhLMyRI/AAAAAAAGy_0/4qlwT_AgVnQ/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Mbunge wa Kigoma Kusini,mhe david kafulila na jessica kishoa wameremeta mjini uvinza
![](http://3.bp.blogspot.com/-aREWlR-eA9k/VHGEnhLMyRI/AAAAAAAGy_0/4qlwT_AgVnQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t6DO1fQm6z8/VHGEnrI-odI/AAAAAAAGy_w/P6rZUPGaYzo/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8aKAthr2vPI/VHGEnpwKX9I/AAAAAAAGy_4/gLaVveSzvjY/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s72-c/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM IMETUPILIA MBALI KESI YA IPTL DHIDI YA DAVID KAFULILA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s640/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi namba 301 iliyofunguliwa na Kampuni ya kufua Umeme ya IPTL, PAP pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya PAP Bw Harbinder Singh Sethi dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila kwa madai kuwa Kafulila alichafua jina kampuni hizo na muhusika huyo kwamba walichota zaidi ya 300bn kwenye akaunt ya Tegeta escrow kinyume cha sheria na taratibu.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania