Mbunge wa Kigoma Kusini,mhe david kafulila na jessica kishoa wameremeta mjini uvinza
.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila akiwa na mai waifu wake Jessica Kishoa wakijiandaa kukata utepe wa kuingia katika mnuso kwenye ukumbi wa Annex uliopo Uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014
Mhe David Kafulila akiwa kanisani na mai waifu wake wa Jessica Kishoa wakati wa kufunga ndoa katika kanisa la Roman Catholic katika Parokia ya uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014
Mhe David Kafulila na mai waifu wake Jessica Kishoa pamoja na wapambe wao Mhe. Deo Filikujombe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
DAVID KAFULILA NA JESSICA KISHOA WALIVYOMEREMETA
10 years ago
Michuzi
MHE.DAVID KAFULILA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE TENA KATIKA JIMBO LA KIGOMA KASINI KUPITIA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI




10 years ago
IPPmedia15 Jun
Kigoma South legislator, David Kafulila
IPPmedia
IPPmedia
Some Members of Parliament and top government officials have been associated with tax evasion, with stakeholders demanding that the law take its course. Speaking at a 2015/16 budget review session over the weekend in Dar es Salaam, stakeholders ...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mwakilishi wa walio wachache bunge maalum la katiba Mhe.David Kafulila ashangiliwa
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Kafulila akwama Kigoma Kusini, CCM yaibuka kidedea
10 years ago
Michuzi.jpg)
MFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA KIGOMA KUSINI WATOA MAGODORO NA VITANDA KITUO CHA AFYA NGURUKA
.jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya jamii, Kigoma
Mfuko wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini, Mhe. David Kafulila umetoa magodoro 20 na vitanda 20 kwa kituo cha afya cha Nguruka ili kuboresha huduma ya afya kituoni hapo hasa kwa akina mama wajawazito.
Mganga Mkuu wa kituo cha afya Nguruka, Dk. Stanford Chamgeni alisema kuwa kituo hicho...
11 years ago
MichuziWadau David Kapungu na Vailet Ndimbo wameremeta
11 years ago
Michuzi.jpg)
Airtel na UNESCO wazindua radio ya kwanza Uvinza Kigoma
.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Jun
MWILI WA MHE. EUGEN MWAIPOSA ALIYEKUWA MBUNGE WA UKONGA WAAGWA MJINI DODOMA


