Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAVID KAFULILA ALIVYOSHANGILIWA BAADA YA KUWASILISHA MAPENDEKEZO YA KAMATI YAKE NAMBA 5 JANA

Mwakilishi wa walio wachache katika kamati namba tano, Mhe. David Kafulila akiwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake na Deusdedit Moshi.
Mwakilishi wa walio wachache katika kamati namba tano, Mhe. David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe baada ya kuwasilisha mapendekezo yao.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA BEKI WA PSG DAVID LUIZ KUPIGWA MATOBO JANA NA SUAREZ HIKI NDICHO KINACHOENDELEA JUU YAKE.



Standing tall or rooted to the ground? This web jokester likens Luiz to Paris's famous Eiffel Tower
This is just nuts! Luiz holds a superimposed jar of Nutella in front of a Parisian skyline in another meme
Luiz is spared in this one as the PSG badge takes centre stage

Familiar faces went head-to-head as ex-Chelsea defender Luiz met ex-Liverpool star Suarez - Keanu Reeves' Neo from the Matrix films had the words - in French no less - to say it all

 

10 years ago

IPPmedia

Kigoma South legislator, David Kafulila


IPPmedia
Kigoma South legislator, David Kafulila
IPPmedia
Some Members of Parliament and top government officials have been associated with tax evasion, with stakeholders demanding that the law take its course. Speaking at a 2015/16 budget review session over the weekend in Dar es Salaam, stakeholders ...

 

10 years ago

GPL

DAVID KAFULILA NA JESSICA KISHOA WALIVYOMEREMETA

Mbunge wa Kigoma Kusini, Mhe. David Kafulila akiwa na mai waifu wake Jessica Kishoa wakijiandaa kukata utepe wa kuingia katika mnuso kwenye ukumbi wa Annex uliopo Uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014. Mhe. David Kafulila na mai waifu wake Jessica Kishoa pamoja na wapambe wao Mhe. Deo…

 

5 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Idara ya Itikadi na Uenezi  Humphrey Polepole,  akieleza yaliyojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi, kilichofanyika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Polepole alitoa maelezo hayo wakati wa Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na Waandishi wa habari.







Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Atoa Maelezo Yake binafsi Bungeni Baada ya Ishu ya Faiza Ally na Mtoto Wao kuzungumzwa Hapo Jana

Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.

Ombi likapokelewa kwenye meza ya Naibu Spika leo June 26 2015 >>>”Nimepokea ombi maalum la kuwasilisha maombi binafsi kutoka kwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

David Kafulila live ndani ya HotMix — EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond

Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulile Mh. Kafulila ameeleza kuwa kabla ya kumkaribisha Lowassa walikaa vikao vya kina vya kumuhoji Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa, na aliweka wazi na kuthibitisha kuwa muhusika wa Richmond ni Kikwete.Amemtaja […]

The post David Kafulila live ndani ya HotMix – EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Michuzi

Mwakilishi wa walio wachache bunge maalum la katiba Mhe.David Kafulila ashangiliwa

 Mwakilishi wa walio wachache  katika kamati namba tano, Mhe.David Kafulila akiwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake na Deusdedit Moshi  Mwakilishi wa walio wachache  katika kamati namba tano,Mhe.David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe baada ya kuwasilisha mapendekezo ya walio wachache katika kamati yake Picha na na Deusdedit Moshi  Mwakilishi wa waliowachache  katika kamati namba tano,Mhe.David Kafulila katikati akishangiliwa na baadhi ya wajumbe...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Lembeli kuwasilisha kesho

Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili inayoongozwa na James Lembeli, inatarajiwa kuwasilisha taarifa yake Ijumaa siku ambayo Mkutano wa 14 wa Bunge utamaliza shughuli zake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani