Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Fashion Show ya Kwanza ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jinsi ya Kuvaa Kanisani

Kwa mara ya kwanza mbunifu mkubwa wa mavazi, Mustafa Hassanali akiwa na mwanamtindo maarufu hapa Bongo, Jokate Mwegelo siku ya jana waliandaa onyesho la mavazi ya kanisani kwa wakinamama yaliyofanyika kwenye ukumbi wa kardinali Rugambwa jijini Dar es salaam, ambapo Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ndiyo alikuwa mgeni rasmi wa onyesho hilo.

Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.

KIJOTE34

jokate13

 

JOKATE23

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Miss Universe Tanzania washiriki fashion show Moscow ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania

 Betty Boniface Nelly Kamwelu
Warembo wawili wa waliowahi kushinda taji la Miss Universe, Nelly Kamwelu na Betty Boniface leo (Jumamosi) watapanda jukwaani mjini Moscow, Urusi kushiriki katika maonyesho ya mavazi ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Warembo hao waliondoja nchini juzi na tayari wapo mjini Moscow kwa ajili ya maonyesho hayo ambayo pia yatashirikisha waonyesha mavazi mbali mbali wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Compass Communications, Maria...

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Waumini wa kanisa la KKKT watakiwa kuvaa barakoa wanapoingia kanisani

Na Amiri kilagalila, NjombeWAUMINI wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania dayosisi ya kusini,wametakiwa kuhakikisha wanavaa barakoa wanapofika ibadani.
Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa hilo dayosisi ya kusini Dkt,George Fihavango mara baada ya ibada ya Jumapili katika kanisa la hilo usharika wa Mji Mwema mjini Makambako,ambapo amesema kuwa waumini wote wanatakiwa kuvaa barakoa wanapokuwa ibadani ili waweze kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Aidha ametoa wito kwa wakuu...

 

5 years ago

Michuzi

Tazama jinsi Shirika la CAMFED Tanzania lilivyoadhimisha siku ya Wanawake Duniani

Wana CAMA ni mtandao wa wasichana waliofadhiliwa na shirika la CAMFED kupata elimu. Katika kudhimisha siku ya Wanawake Duniani wana CAMA walijumuika na wanawake wengine katika wilaya za Kilosa, Gairo, Morogoro,  Ifakara, Kilombero, Kibaha, Chalinze, Rufiji, Kibiti, Kilolo, Handeni DC, Handeni TC, Iringa na Pangani,   kuadhimisha siku hiyo kwa kishindo.  Baadhi ya mabinti waliofadhiliwa na CAMFED (wana CAMA)  kusoma ufundi wa magari katika chuo cha wananchi Handeni (Folk Development...

 

11 years ago

CloudsFM

Picha> Baadhi ya wasanii wa bongo movie wakielezea ni jinsi gani wanaiaminia Tanzania

Ray msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....Wolper msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

Mchopa msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

Uwoya msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania:ligi ya kwanza soka wanawake 2015

Mashindano ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake (Taifa Cup Wanawake) yanazinduliwa rasmi Januari Mosi mwakani ,Kirumba Mwanza

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya Wanawake Duniani: Jinsi wanawake wa vijijini wanavyoweza kubadilisha jamii kiuchumi wakiwezeshwa

Maisha yangu yalikuwa magumu. Sikuwa na pesa ya chakula kwa ajili yangu na watoto wangu, sikuwa na pesa hata ya kununua nguo, nilikuwa natembea pekupeku bila viatu.

 

5 years ago

Al Jazeera English

US fashion school apologises for 'racist' show

US fashion school apologises for 'racist' show  Al Jazeera EnglishFashion Institute apologises for 'clearly racist' show  BBC NewsNew York fashion school apologizes for racist catwalk face mask  Boing BoingView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani