Picha: Fashion Show ya Kwanza ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jinsi ya Kuvaa Kanisani
Kwa mara ya kwanza mbunifu mkubwa wa mavazi, Mustafa Hassanali akiwa na mwanamtindo maarufu hapa Bongo, Jokate Mwegelo siku ya jana waliandaa onyesho la mavazi ya kanisani kwa wakinamama yaliyofanyika kwenye ukumbi wa kardinali Rugambwa jijini Dar es salaam, ambapo Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ndiyo alikuwa mgeni rasmi wa onyesho hilo.
Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 May
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s72-c/Betty+Boniface.jpg)
Miss Universe Tanzania washiriki fashion show Moscow ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s1600/Betty+Boniface.jpg)
Warembo wawili wa waliowahi kushinda taji la Miss Universe, Nelly Kamwelu na Betty Boniface leo (Jumamosi) watapanda jukwaani mjini Moscow, Urusi kushiriki katika maonyesho ya mavazi ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Warembo hao waliondoja nchini juzi na tayari wapo mjini Moscow kwa ajili ya maonyesho hayo ambayo pia yatashirikisha waonyesha mavazi mbali mbali wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Compass Communications, Maria...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5VKOG8MGfNs/XqbRujjvuwI/AAAAAAALoVo/2HFgjjnJOMQnVQNFl3AwSDPXssg9Nx0SgCLcBGAsYHQ/s72-c/BARAKOA.webp)
Njombe:Waumini wa kanisa la KKKT watakiwa kuvaa barakoa wanapoingia kanisani
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VKOG8MGfNs/XqbRujjvuwI/AAAAAAALoVo/2HFgjjnJOMQnVQNFl3AwSDPXssg9Nx0SgCLcBGAsYHQ/s400/BARAKOA.webp)
Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa hilo dayosisi ya kusini Dkt,George Fihavango mara baada ya ibada ya Jumapili katika kanisa la hilo usharika wa Mji Mwema mjini Makambako,ambapo amesema kuwa waumini wote wanatakiwa kuvaa barakoa wanapokuwa ibadani ili waweze kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Aidha ametoa wito kwa wakuu...
11 years ago
Michuzi27 Feb
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Mbem6sg8JI0/XmqUY2cwYQI/AAAAAAALi2c/KNxKnLwiYS8xcNsYSbNxk-pUs9i_6_s2QCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
Tazama jinsi Shirika la CAMFED Tanzania lilivyoadhimisha siku ya Wanawake Duniani
![](https://1.bp.blogspot.com/-Mbem6sg8JI0/XmqUY2cwYQI/AAAAAAALi2c/KNxKnLwiYS8xcNsYSbNxk-pUs9i_6_s2QCLcBGAsYHQ/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
11 years ago
CloudsFM15 Jun
Picha> Baadhi ya wasanii wa bongo movie wakielezea ni jinsi gani wanaiaminia Tanzania
Ray msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....Wolper msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....
Mchopa msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....
Uwoya msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Tanzania:ligi ya kwanza soka wanawake 2015
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Siku ya Wanawake Duniani: Jinsi wanawake wa vijijini wanavyoweza kubadilisha jamii kiuchumi wakiwezeshwa
5 years ago
Al Jazeera English20 Feb
US fashion school apologises for 'racist' show