Akatazwa kuvaa hijab kazini Ufaransa
Mahakama ya Ulaya ya haki za kibinaadamu imekataa hoja ya mfanyikazi mmoja wa kiislamu aliyetaka kuvaa hijab kazini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Akatazwa shule kwa kuvaa sketi ndefu
Msichana mmoja muislamu amekatazwa kuingia darasani huko shuleni kwao Ufaransa kwa sababu alikuwa amevalia sketi ndefu.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VeYOb5aICds/VXCsI3kxO-I/AAAAAAADp_w/OqAhrWSSZx4/s72-c/1406433.jpg)
KADRA MOHAMED: MWANAMKE WA KWANZA POLISI KUVAA HIJABU AKIWA KAZINI MINNESOTA, MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-VeYOb5aICds/VXCsI3kxO-I/AAAAAAADp_w/OqAhrWSSZx4/s640/1406433.jpg)
Umewahi kusikia habari za Kadra Mohamed? kama bado ni lazima usikie.
Yeye ni mwanamke wa kwanza wa Somalia kuwa Afisa wa Polisi katika mji wa Minnesota nchini Marekani kuvaa hijabu akiwa kazini.Kadra mwenye umri wa miaka 22 ameandika historia katika dunia.Kadra amemaliza masomo ya mafunzo ya Upolisi mwezi Mei mwaka huu katika chuo cha St Paul Police Academy.Alijiunga na St Paul mwezi Machi mwaka jana katika ulinzi shirikishi baada ya idara hiyo ya Polisi kupitisha sheria ya kuruhusu wanawake...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71573000/jpg/_71573203_protests3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Muislamu wa US ashinda kesi ya Hijab
Mahakama ya Marekani imetoa uamuzi uliompendelea mwanamke muislamu ambaye alienda mahakamani baada ya kunyimwa kazi kutokana na vazi lake la hijab.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Makahaba watumia Vibaya Hijab Kenya
Makahaba katika baadhi ya sehemu za mji mkuu wa Kenya , Nairobi, wametupilia Mbali vazi la 'Mini skirt na kuanza kutumia Hijab kama njia ya kuwavutia wateja wao
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Waaga mchuano baada ya kuagizwa kuvua hijab
Sheria za shirikisho la mpira wa vikapu haziruhusu mavazi kichwani
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
Al Shabaab: Wanawake waislamu waliwafunika Hijab wakristo
Abiria aliyenusurika shambulizi la Al shabaab ameiambia BBC kuwa wanawake waislamu walivua hijab na kuwastiri wanawake wakristu iliwasiuawe.
10 years ago
Habarileo19 Jul
Aliyechana fomu kwa kukataa kuvua hijab mbaroni
WATU wawili wamekamatwa katika vituo viwili tofauti vya uandikishwaji wa daftari la mpigakura kwa kosa la kuchana karatasi ya maelezo ya mpiga kura (Fomu namba moja) na mwingine kwa kosa la kujiandikisha mara mbili.
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Je,unaweza kuvaa chupi ya mpenzi wako?
Chupi inayoweza kuvaliwa na watu wa jinsia zote sasa imeanza kuuzwa madukani nchini Marekani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania