Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akatazwa kuvaa hijab kazini Ufaransa

Mahakama ya Ulaya ya haki za kibinaadamu imekataa hoja ya mfanyikazi mmoja wa kiislamu aliyetaka kuvaa hijab kazini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Akatazwa shule kwa kuvaa sketi ndefu

Msichana mmoja muislamu amekatazwa kuingia darasani huko shuleni kwao Ufaransa kwa sababu alikuwa amevalia sketi ndefu.

 

10 years ago

Vijimambo

KADRA MOHAMED: MWANAMKE WA KWANZA POLISI KUVAA HIJABU AKIWA KAZINI MINNESOTA, MAREKANI


Umewahi kusikia habari za Kadra Mohamed? kama bado ni lazima usikie.
Yeye ni mwanamke wa kwanza wa Somalia kuwa Afisa wa Polisi katika mji wa Minnesota nchini Marekani kuvaa hijabu akiwa kazini.Kadra mwenye umri wa miaka 22 ameandika historia katika dunia.Kadra amemaliza masomo ya mafunzo ya Upolisi mwezi Mei mwaka huu katika chuo cha St Paul Police Academy.Alijiunga na St Paul mwezi Machi mwaka jana katika ulinzi shirikishi baada ya idara hiyo ya Polisi kupitisha sheria ya kuruhusu wanawake...

 

11 years ago

BBC

Egypt's new hijab-clad superheroine

The comic strip superhero breaking the mould in Egypt

 

10 years ago

BBCSwahili

Muislamu wa US ashinda kesi ya Hijab

Mahakama ya Marekani imetoa uamuzi uliompendelea mwanamke muislamu ambaye alienda mahakamani baada ya kunyimwa kazi kutokana na vazi lake la hijab.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba watumia Vibaya Hijab Kenya

Makahaba katika baadhi ya sehemu za mji mkuu wa Kenya , Nairobi, wametupilia Mbali vazi la 'Mini skirt na kuanza kutumia Hijab kama njia ya kuwavutia wateja wao

 

10 years ago

BBCSwahili

Waaga mchuano baada ya kuagizwa kuvua hijab

Sheria za shirikisho la mpira wa vikapu haziruhusu mavazi kichwani

 

9 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab: Wanawake waislamu waliwafunika Hijab wakristo

Abiria aliyenusurika shambulizi la Al shabaab ameiambia BBC kuwa wanawake waislamu walivua hijab na kuwastiri wanawake wakristu iliwasiuawe.

 

10 years ago

Habarileo

Aliyechana fomu kwa kukataa kuvua hijab mbaroni

WATU wawili wamekamatwa katika vituo viwili tofauti vya uandikishwaji wa daftari la mpigakura kwa kosa la kuchana karatasi ya maelezo ya mpiga kura (Fomu namba moja) na mwingine kwa kosa la kujiandikisha mara mbili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,unaweza kuvaa chupi ya mpenzi wako?

Chupi inayoweza kuvaliwa na watu wa jinsia zote sasa imeanza kuuzwa madukani nchini Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani