Akatazwa shule kwa kuvaa sketi ndefu
Msichana mmoja muislamu amekatazwa kuingia darasani huko shuleni kwao Ufaransa kwa sababu alikuwa amevalia sketi ndefu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Akatazwa kuvaa hijab kazini Ufaransa
9 years ago
Mwananchi31 Dec
2016 mwanzo wa safari ndefu ya kiuchumi kwa Tanzania
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Safari ndefu kwa watoto wenye mahitaji maalumu
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Safari bado ndefu kwa KKK na mpango wa BRN
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ekr8W1umcQw/VSYmEwmfNUI/AAAAAAAAaNI/WPZJQnsk1yg/s72-c/3.jpg)
YULE MWANAFUNZI MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA UGAIDI KENYA ANA STORI NDEFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ekr8W1umcQw/VSYmEwmfNUI/AAAAAAAAaNI/WPZJQnsk1yg/s640/3.jpg)
Mtanzania aliyekamatwa Kenya akidaiwa kufanya ugaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa uliosababisha vifo vya watu 148, Rashid Charles Mberesero (20) ni mwanafunzi wa kidato cha tano, lakini uongozi wa shule anayosoma umesema alitoweka shuleni hapo kati ya Desemba na Novemba 2014.
Habari zilizothibitishwa na wazazi wake ni kuwa mwanafunzi huyo anasoma katika Shule ya Sekondari ya Bihawana, Dodoma, baada ya kufaulu katika Shule ya Sekondari Gonja mkoani Kilimanjaro. Mama mzazi wa kijana huyo,...
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Washambuliwa kwa kuvaa nguo fupi Kenya