Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yahusishwa na watekaji S Kusini

UN inasema kuwa vijana wa kiume waliotekwa nchini Sudan Kusini huenda walichukuliwia na wapiganaji wenye uhusiano na serikali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yahusishwa na uvamizi A. Kusini

Afrika Kusini imewahusisha wanadiplomasia 3 wa Rwanda waliofurushwa kutoka nchini humo na njama ya mauaji ya wapinzani wa Kagame wanaoishi Afrika Kusini.

 

10 years ago

Mwananchi

Familia ya aliyetekwa walia na polisi, watekaji

>Sintofahamu ya alipo muuguzi wa Mwananyamala, Pili Amiri imeendelea kuigubika familia ya muuguzi huyo na Jeshi la Polisi baada ya watekaji hao kushindwa kumuachia huru licha ya kupewa Sh5 milioni walichotaka.

 

10 years ago

Mwananchi

Nesi atekwa Dar, watekaji wataka Sh5 mil

Watu wasiojulikana wamemteka Muuguzi wa Hospitali ya Mwananyamala, Pili Amiri, huku wakitoa sharti la kupewa Sh5 milioni ili wamuache huru.

 

10 years ago

Mtanzania

Bodi ya Ligi yahusishwa

LIGIKUUNA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya rais yahusishwa na wizi

Inadaiwa kuwa wanunuzi,walinunua maelfu ya kilo za pembe za ndovu nchini Tanzania na kuzitorosha kutumia ndege ya rais wa china

 

10 years ago

BBCSwahili

Ikulu ya Tanzania yahusishwa na Escrow

Prosper Mbena aliandika barua ili kushinikiza hatua ya kutolewa kwa billioni 306 fedha za Escrow kutoka banki kuu ya Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Hoteli yahusishwa utekaji wa albino Pendo

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akiongea na vyombo vya habari.MTOTO Pendo Emmanuel (4) mwenye ulemavu wa ngozi, aliyetekwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwao wilayani Kwimba, imegundulika alihifadhiwa katika hoteli moja ya kifahari jijini Mwanza, kabla ya kukabidhiwa kwa watu wengine, walioondoka naye kusikojulikana.

 

9 years ago

Vijimambo

POMBE YAHUSISHWA, AJALI MBAYA YA BODABODA

Kasendeka, mhanga wa ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda.  Kijana Kasendeka ambaye alipata ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda eneo ilipo Club Royal karibu na lango kuu la kuingilia Chuo Cha Utumishi cha Tabora zamani kikifaahamika kama UHAZILI.Kamera ya mtandao huu imelimulika tukio baya la ajari iliyohusisha pikipiki mbili eneo la Club Royal karibu na lango la kuingilia chuo cha Utumishi wa Umma cha Tabora zamani UHAZILI.Mfuatiliaji wa tukio alibainisha dereva mmoja alikuwa anatokwa na harufu ya pombe kitu kilichodhihirisha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kampuni yahusishwa vibali vya utoroshaji wanyama

KAMPUNI ya HAM Marketing and Gumbo Enterprise ya jijini Arusha imetajwa kuhusika katika uombaji wa vibali vya kukamata wanyama hai 154, wakiwemo Twiga wanne waliotoroshwa kwenda uarabuni kupitia uwanja wa Kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani