Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ikulu ya Tanzania yahusishwa na Escrow

Prosper Mbena aliandika barua ili kushinikiza hatua ya kutolewa kwa billioni 306 fedha za Escrow kutoka banki kuu ya Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ESCROW ISIIACHE IKULU YA JK

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. SIKU yoyote wiki hii, Rais Jakaya Mrisho Kikwete atakata mzizi wa fitina juu ya sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow. Macho na masikio ya kila mtanzania yameelekezwa kwake kwa matumaini kwamba hatua stahiki zitachukuliwa katika kutekeleza maazimio ya Bunge. Watu wanategemea vigogo wote waliotajwa kuhusika katika kashfa hiyo watatendewa haki kwa kila mmoja kuhukumiwa kwa kadiri...

 

10 years ago

Vijimambo

Escrow: Gurumo wa Ikulu jeuri.

Atamba ana fedha kuliko mamilioni aliyogawiwa, Adai hajui ni za nini ingawa alizifungulia akauntiMnikulu, Shaban Gurumo.
Mnikulu, Shaban Gurumo, amekiri kupokea mgawo wa zaidi ya Sh. milioni 80.8 kutoka kwa mmiliki wa kampuni ya VIP Engineering and Marketing, James Rugemalira, unaodaiwa kuwa ni sehemu ya zaidi ya Sh. bilioni 200 zilizochotwa kifisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), lakini akasema hata kama asingepata, angeweza kutatua shida zake kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Ikulu: Ripoti ya Tokomeza, Escrow hazitatolewa

sefueNa Fredy Azzah, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amesema ripoti za uchunguzi ya Operesheni Tokomeza na suala la Akaunti ya Tegeta Escrow hazitatolewa hadharani.
“Hakuna mpango wa kuweka ripoti hadharani kwa sababu kuna mambo ya kesi zinazoendelea mahakamani, sasa ukianza kutoa hadharani unaharibu hizo kesi mahakamani,” alisema Balozi Sefue.
Ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim...

 

10 years ago

Habarileo

Ikulu yakanusha Katibu wa Rais kuingilia Escrow

VYOMBO vya habari nchini vimeaswa kuripoti matukio yaliyofanyiwa uchunguzi wa kina na yenye kufuata maadili na taaluma ya habari, badala ya kufanya kazi kwa kuongozwa na ushabiki vinapotekeleza majukumu yake.

 

10 years ago

Mwananchi

ESCROW: Ikulu yazidi kumweka kiporo Muhongo

>Licha ya watu mbalimbali kutaka Rais Jakaya Kikwete kumwajibisha Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuhusiana na sakata la fedha za escrow, Ikulu imesema suala hilo litatolewa uamuzi wakati wowote baada ya mapumziko ya sikukuu.

 

10 years ago

Mtanzania

Kigogo Ikulu aburuzwa Madili kwa Escrow

mnikuluNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIGOGO wa Ikulu (Mnikulu), Shabani Gurumo, amelishangaza Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kusema hakufahamu sababu za kuwekewa kiasi cha Sh 80,850,000 kwenye akaunti yake.
Mnikulu huyo alipinga madai ya yeye kupewa fedha na Kampuni ya VIP Engineering ila alipewa na James Rugemalira kutokana na urafiki wao walionao kwa muda wa miaka 10 na hazihusiani na mgawo.
Alisema wakiwa katika mazungumzo na rafiki yake Rugemalira, alipewa maelezo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ikulu: JK hatawaadhibu vigogo wa escrow bila ya uchunguzi

 Ikulu imesema pamoja na kuwa Rais Jakaya Kikwete amekwishapokea maazimio ya Bunge kuhusu wanaotuhumiwa kuchota Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow, hawezi kuwachukulia hatua mpaka hapo uchunguzi kuhusu suala hilo utakapokamilika.

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA ESCROW: OFISA WA IKULU AHOJIWA NA TUME YA MAADILI

Ofisa wa Ikulu, Rajab Shaban (katikati) akitoka katika chumba cha mahojiano.
Tume ya Maadili, katikati ni Jaji Hamis Msumi.
Rajab Shaban akitoa ufafanuzi kuhusu kashfa ya kuingiziwa…

 

10 years ago

Vijimambo

Ngeleja ajimaliza Escrow, Adai hajapokea mgawo peke yake, Naye kigogo Ikulu kula kibano leo.

Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, jana alipanda ‘kizimbani’ mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kujibu malalamiko dhidi yake ya kupokea zaidi ya Sh. milioni 40.4 kutoka kwa mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Ltd, James Rugemalira, kinyume cha sheria ya maadili na kuliomba baraza hilo kwamba, iwapo litatumia rungu lake kutoa mwongozo wa adhabu, lisianzie kwake, kwani kitendo alichokifanya hufanywa pia na wabunge wengine.

Ngeleja (47), ambaye amewahi pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani