Ikulu yakanusha Katibu wa Rais kuingilia Escrow
VYOMBO vya habari nchini vimeaswa kuripoti matukio yaliyofanyiwa uchunguzi wa kina na yenye kufuata maadili na taaluma ya habari, badala ya kufanya kazi kwa kuongozwa na ushabiki vinapotekeleza majukumu yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Mar
Ikulu yakanusha Rais Kikwete kumtembelea Maranda
KURUGENZI ya Mawasiliano Ikulu imekanusha taarifa kwamba Rais Jakaya Kikwete, alimtembelea katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili mfungwa, Rajab Maranda anayetumikia kifungo cha miaka 18 gerezani kwa wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfaIq7WcCi7ilkK2psDnts5etpZ2rkYylO4CqSvlb9EL95j0FZt1lbl-rd-natKVfMjjZjR*7MZXDAuD*t-5*G7Q/jk_taifa.jpg?width=650)
IKULU YAKANUSHA RAIS KIKWETE KULIHUTUBIA TAIFA LEO
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Ikulu yakanusha Rais kulipwa Dola 16,000 kwa mwezi
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ftf-j8HwaDs/UxyK5qv7L0I/AAAAAAAFSYU/lnM7Z5m8O4E/s72-c/unnamed+(8).jpg)
JUST IN: IKULU YAKANUSHA HABARI YA GAZETI LA MWANANCHI YA RAIS KUMTEMBELEA MFUNGWA MARANDA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ftf-j8HwaDs/UxyK5qv7L0I/AAAAAAAFSYU/lnM7Z5m8O4E/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u0OqZkbawWA/UxyK5tWr60I/AAAAAAAFSYQ/RmmSYWG-e88/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
IKULU yakanusha taarifa ya gazeti la Mwananchi inayodai “Rais Kikwete analipwa Dola za Marekani 192,000 kwa mwaka”
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika ni hawa hapa”.
Katika habari hiyo ambayo gazeti hilo linadai chanzo chake ni “uchambuzi wa mtandao wa African Review” inadaiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, anashilikia nafasi ya tano miongoni mwa viongozi 38 wa nchi za Afrika wanaolipwa mshahara...
11 years ago
Habarileo28 Jun
Ikulu yakanusha habari za magazeti
SERIKALI imekanusha taarifa zilizoandikwa katika baadhi ya magazeti ya jana yakiwemo gazeti la Uhuru na Tanzania Daima. Habari hizo ni ile ya gazeti la Uhuru inayosomeka: “Bila kupitia JKT hakuna ajira serikalini” na iliyoandikwa na Mtanzania Daima yenye kichwa cha habari “Ikulu:Rushwa ya ngono imekithiri serikalini”
10 years ago
Habarileo15 Aug
Ikulu yakanusha JK kuhojiwa na Obama
MKURUGENZI wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu amekanusha madai yaliyotangazwa hivi karibuni kwamba, Rais Jakaya Kikwete amehojiwa na Rais wa Marekani, Barack Obama, kuhusu fedha za kampuni ya kufua umeme ya IPTL.
11 years ago
Habarileo02 Mar
Ikulu yakanusha nyongeza ya posho
RAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g0ig7haYieo/XmJmIUDxOoI/AAAAAAACIOM/hPoNk-KK2Hk9akSzQDKehCm-xZWMaEoUACLcBGAsYHQ/s72-c/kk%2B%25283%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-g0ig7haYieo/XmJmIUDxOoI/AAAAAAACIOM/hPoNk-KK2Hk9akSzQDKehCm-xZWMaEoUACLcBGAsYHQ/s320/kk%2B%25283%2529.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli, amemuapisha Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika iliyofanyika leo Ikulu Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Mkuu, Viongozi Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama...