Rwanda yahusishwa na uvamizi A. Kusini
Afrika Kusini imewahusisha wanadiplomasia 3 wa Rwanda waliofurushwa kutoka nchini humo na njama ya mauaji ya wapinzani wa Kagame wanaoishi Afrika Kusini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Serikali yahusishwa na watekaji S Kusini
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Rwanda na A.Kusini kusuluhisha mgogoro
11 years ago
BBCSwahili08 Mar
Rwanda yafukuza afisa wa Afrika Kusini
11 years ago
Habarileo10 Mar
Rwanda yatimua maofisa Ubalozi wa Afrika Kusini
SERIKALI ya Rwanda, imefukuza maofisa sita wa ubalozi wa Afrika Kusini muda mfupi baada ya nchi hiyo kuwataka maofisa wa watatu ubalozi wa Rwada kuondoka Afrika Kusini.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Rwanda na Afrika Kusini kulegeza marufuku ya kutotoka nje
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Bodi ya Ligi yahusishwa
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Ikulu ya Tanzania yahusishwa na Escrow
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Ndege ya rais yahusishwa na wizi
10 years ago
Habarileo26 Feb
Hoteli yahusishwa utekaji wa albino Pendo
MTOTO Pendo Emmanuel (4) mwenye ulemavu wa ngozi, aliyetekwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwao wilayani Kwimba, imegundulika alihifadhiwa katika hoteli moja ya kifahari jijini Mwanza, kabla ya kukabidhiwa kwa watu wengine, walioondoka naye kusikojulikana.