Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rwanda yahusishwa na uvamizi A. Kusini

Afrika Kusini imewahusisha wanadiplomasia 3 wa Rwanda waliofurushwa kutoka nchini humo na njama ya mauaji ya wapinzani wa Kagame wanaoishi Afrika Kusini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yahusishwa na watekaji S Kusini

UN inasema kuwa vijana wa kiume waliotekwa nchini Sudan Kusini huenda walichukuliwia na wapiganaji wenye uhusiano na serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda na A.Kusini kusuluhisha mgogoro

Rais Jacob Zuma wa Afrika-Kusini na Paul Kagame wa Rwanda wamekubaliana kuanzisha mazungumzo ya pamoja ya kumaliza mzozo wao wa kidiplomasia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yafukuza afisa wa Afrika Kusini

Rwanda na Afrika Kusini yajibizana, kila mmoja afukuza wanabalozi wa mwenzake

 

11 years ago

Habarileo

Rwanda yatimua maofisa Ubalozi wa Afrika Kusini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Louise MushikiwaboSERIKALI ya Rwanda, imefukuza maofisa sita wa ubalozi wa Afrika Kusini muda mfupi baada ya nchi hiyo kuwataka maofisa wa watatu ubalozi wa Rwada kuondoka Afrika Kusini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rwanda na Afrika Kusini kulegeza marufuku ya kutotoka nje

Serikali ya Rwanda imepunguza ukali wa masharti iliyoweka kama hatua za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona tangu wiki sita zilizopita.

 

10 years ago

Mtanzania

Bodi ya Ligi yahusishwa

LIGIKUUNA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ikulu ya Tanzania yahusishwa na Escrow

Prosper Mbena aliandika barua ili kushinikiza hatua ya kutolewa kwa billioni 306 fedha za Escrow kutoka banki kuu ya Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya rais yahusishwa na wizi

Inadaiwa kuwa wanunuzi,walinunua maelfu ya kilo za pembe za ndovu nchini Tanzania na kuzitorosha kutumia ndege ya rais wa china

 

10 years ago

Habarileo

Hoteli yahusishwa utekaji wa albino Pendo

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akiongea na vyombo vya habari.MTOTO Pendo Emmanuel (4) mwenye ulemavu wa ngozi, aliyetekwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwao wilayani Kwimba, imegundulika alihifadhiwa katika hoteli moja ya kifahari jijini Mwanza, kabla ya kukabidhiwa kwa watu wengine, walioondoka naye kusikojulikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani