Hoteli yahusishwa utekaji wa albino Pendo
MTOTO Pendo Emmanuel (4) mwenye ulemavu wa ngozi, aliyetekwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwao wilayani Kwimba, imegundulika alihifadhiwa katika hoteli moja ya kifahari jijini Mwanza, kabla ya kukabidhiwa kwa watu wengine, walioondoka naye kusikojulikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV26 Feb
Utekaji Albino, chunguzi waendelea dhidi ya wahusika Mwanza.
Na Ester Nangale,
Mwanza
Kukithiri kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi albinism umekuwa ni janga la kitaifa linalozidi kuleta hofu miongoni mwa jamii na kutishia kupotea sifa ya nchi ya Tanzania ya kisiwa cha amani.
Bado watu hawa wanadaiwa kuishi kwa hofu bila ya kuwa na uhakika wa kuiona kesho kutokana na vitendo hivi kukithiri na wahusika wa vitendo hivyo kushindwa kubainika na kuchukuliwa hatua stahiki ndani ya muda muafaka.
Walemavu wa ngozi wamezidi kupaza...
10 years ago
StarTV18 Feb
Utekaji Albino, Hofu yaendelea kutanda kwa jamii.
Na Rogers Willium,
Mwanza.
Wakati jeshi la polisi nchini likihangaika kumtafuta mtoto Pendo Emanuel mwenye ulemavu wa Ngozi baada ya kutekwa na watu wasiofahamika desemba 27 mwaka jana, mtoto mwingine wa mwaka mmoja Yohana Bahati ametekwa mkoani Geita.
Mtoto huyo ametekwa usiku wa kuamkia siku ya jumatatu nyumbani kwao katika kijiji cha Ilelema Wilaya ya Chato na watu wasiofahamika.
Matukio yote haya yanafanyika ndani ya siku 50 na hivyo kuleta hofu katika jamii hususan kwa watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s72-c/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s400/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.
Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOI*DRuNlM0NAsGr5-9nZEkKX7x9M*hqYFceFIyYrk5fhM3*bwLsKZLPzLvomwDKovlHt6qeL*1GGWcgza4ALjmb/pendo.jpg?width=650)
PENDO WA MAISHA PLUS ATAMANI NDOA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoaYF5iwi91*fFWtXRyu8Sa9mK3lBOxWNL9QZDVYyfCHmUWZdVbZQBiYQJC-qYTlvLvFBtkRTyNHu1jt2aTh0J78/pendo.jpg)
MAJI MACHAFU YAMLAZA PENDO KITANDANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND04JlrIxRAShD3P*h8Hmg3ZPiOKWdYz-AS02TbOLaY2lx62bqRegZan02C8ruiGogB1wb3YTKyBj1VqWhxoF0QB/PENDO4.jpg)
PENDO MAISHA PLUS ‘ADATA’ MSIBANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgAejj30uSqnchC4FROh5r8iurhSu4Q*DZR03DTgEcchnQux1G6rrQoXeW5Kj-TzqsWWcd8iApvBvmRxiYAZhiS/sex_spot_couple_balcony.jpg?width=650)
MWANAUME NDIYE MWENYE NAFASI YA KULINDA PENDO!
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Bodi ya Ligi yahusishwa
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Serikali yahusishwa na watekaji S Kusini