Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utekaji Albino, Hofu yaendelea kutanda kwa jamii.

Na Rogers Willium,

Mwanza.

 

Wakati jeshi la polisi nchini likihangaika kumtafuta mtoto Pendo Emanuel mwenye ulemavu wa Ngozi baada ya kutekwa na watu wasiofahamika desemba 27 mwaka jana, mtoto mwingine wa mwaka mmoja Yohana Bahati ametekwa mkoani Geita.

Mtoto huyo ametekwa usiku wa kuamkia siku ya jumatatu nyumbani kwao katika kijiji cha Ilelema Wilaya ya Chato na watu wasiofahamika.

Matukio yote haya yanafanyika ndani ya siku 50 na hivyo kuleta hofu katika jamii hususan kwa watu...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu yaendelea kutanda A.Magharibi

Kuna hofu kwamba mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, katika kanda ya Afrika Magharibi, utaendelea kuwa mbaya sana hadi kanda hiyo itakapopata nafuu

 

10 years ago

BBCSwahili

Albino bado wanaishi kwa hofu TZ

Kampenzi kubwa imezinduliwa nchini Tanzania,ikiongozwa na Raisi Jakaya Kikwete,kutafuta fedha kwa ajili ya kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi maarufu kama albino.

 

10 years ago

Tanzania Daima

ACT: Udhaifu unachangia albino kuishi kwa hofu

MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Change and Transparence (ACT-Tanzania), Kadawi Limbu, amesema udhaifu wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kuwalinda raia na mali zao kumechangia baadhi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Hoteli yahusishwa utekaji wa albino Pendo

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo akiongea na vyombo vya habari.MTOTO Pendo Emmanuel (4) mwenye ulemavu wa ngozi, aliyetekwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwao wilayani Kwimba, imegundulika alihifadhiwa katika hoteli moja ya kifahari jijini Mwanza, kabla ya kukabidhiwa kwa watu wengine, walioondoka naye kusikojulikana.

 

10 years ago

StarTV

Utekaji Albino, chunguzi waendelea dhidi ya wahusika Mwanza.

Na Ester Nangale,

Mwanza

 

Kukithiri kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi albinism umekuwa ni janga la kitaifa linalozidi kuleta hofu miongoni mwa jamii na kutishia kupotea sifa ya nchi ya Tanzania ya kisiwa cha amani.

Bado watu hawa wanadaiwa kuishi kwa hofu bila ya kuwa na uhakika wa kuiona kesho kutokana na vitendo hivi kukithiri na wahusika wa vitendo hivyo kushindwa kubainika na kuchukuliwa hatua stahiki ndani ya muda muafaka.

Walemavu wa ngozi wamezidi kupaza...

 

10 years ago

Mwananchi

Hali ya mama wa Albino aliyeuawa yaendelea vizuri

>Hali ya mama wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Yohana Bahati (1), aliyetekwa na baadaye kuuawa, inaendelea vizuri katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando BMC.

 

9 years ago

StarTV

Hofu yasababisha Albino kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni.

 

Watu wenye ulemavu wa ngozi Albino mkoani Mara wamesema licha ya kuwa na haki ya kuhudhuria mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wamekuwa wakikosa fursa hiyo kutokana na kuhofia usalama wa maisha yao.

Wamesema licha ya Serikali na vyombo vingine kukemea vitendo wa kikatili wanavyofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi ikiwemo kutekwa na kuuawa kikatili na kisha kunyofolewa baadhi ya viungo lakini bado kuna baadhi ya watu wanaendeleza vitendo hivyo...

 

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Huzuni, hofu vyatesa familia ya albino aliyetekwa, kuuawa -2

>Shija anasema yeye ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwa baba na mama yake, walizaliwa watoto wanane, kati ya hao wanne ni albino, lakini kati ya albino hao wawili wamekufa, hivyo wamebaki wawili.

 

10 years ago

Michuzi

ZADIA YAENDELEA KUSAKA MAENDELEO YA USTAWI WA JAMII ZANZIBAR

Tulipokuwa skuli tulifundishwa kuwa, ili tuendelee tunahitaji mambo manne: Ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora. Jumuiya ya Wazanibari Waishio nchini Marekani (ZADIA) inauelewa fika umuhimu wa maneno hayo ya hekima, na ndio maana uongozi wake bora, kwa kutambua jukumu lake, daima umekuwa mbioni katika kutafuta na kubuni mbinu za kusaidia maendeleo nyumbani Zanzibar.
Kwa vile kuwa na watu tu haitoshi kuleta maendeleo ya nchi, ndio maana ZADIA imelipa kipaumbele swala la afya na ustawi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani