Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJI MACHAFU YAMLAZA PENDO KITANDANI

Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu na muziki wa taarabu Bongo, Upendo Mushi ‘Pendo’ yu kitandani baada ya kuugua ghafla kwa kile ambacho madaktari waligundua ni kunywa maji yasiyochemshwa. Msanii wa filamu na muziki wa taarabu Bongo, Upendo Mushi ‘Pendo. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, msanii huyo anayeishi Mwananyamala jijni Dar es Salaam, baada ya kupimwa na kukutwa na ugonjwa huo, alipatiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CHEMBA ITIRIRISHAYO MAJI MACHAFU BARABARANI MWENGE

Chemba  hii mbovu iliyo nje ya Zahanati ya Mwenge, kwa muda wa zaidi ya miaka 20 imekuwa ni kero kubwa kwa wakazi wa eneo hilo na wapita njia kwani hutirisisha maji machafu yakiwemo ya vyooni nyakati za kiangazi na masika, maji ambayo hutoa harufu mbaya na ambayo ni tishio la kusambaza magonjwa hasa kwa wakazi jirani na eneo hilo.  Chemba hiyo imeendelea kuwa katika hali hiyo mbaya  kwa miaka nenda-rudi bila kufanyiwa...

 

10 years ago

CloudsFM

MTOTO AOPOLEWA KWENYE DIMBWI LA MAJI MACHAFU

Mtoto mwenye umri ya miaka 5 afariki dunia kwenye dimbwi la maji machafu karibu na mtaa wa stendi ya mabasi Mafinga, wilayani Mufindi mkoani Iringa.Mtoto huyo alipotea nyumbani takribani siku 3 zimepita ambapo mama mzazi alitoa taarifa jeshi la polisi liweze kumsaidia lakini juhudi hizo haikuzaa matunda ambapo hii leo amekutwa kwenye dimbwi la maji hayo.

Source: fransis Godwin

 

10 years ago

Michuzi

KERO YA MAJI MACHAFU MTAA WA NZASA ZAMANI UMOJA STREET MWENGE

 Huu si Mto lakini ni Maji Machafu ambayo yamefumuka kwenye Chemba baada ya Mvua kunyesha Katika mtaa wa Nzasa zamani Umoja Street Mwenge ambao pia unajulikana kama mtaa wa Kinyesi Haya ni maji machafu ambayo yanatoka katika Chemba za maji taka ambapo yanapita kando ya makazi ya watu na kusababisha Kero ya Harufu mbaya na wasiwasi wa Mlipuko wa Magonjwa.  Hii ni Moja ya Chemba ikiwa inafuka Maji Machafu ambayo yamejitengenezea Njia katika Makazi ya watuNa hii pia ni Chemba ambayo imefumuka...

 

9 years ago

Vijimambo

UCHAFU WA MAGANDA YA MIWA WAZIBA MTARO WA MAJI MACHAFU SOKO LA MIEMBENI MJINI DODOMA

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtaro wa kupitishia maji machafu hasa wakati wa mvua unakaribia kuzibwa na maganda ya miwa yanayomwagwa na wafanyabiashara wa miwa waliopo soko la Miembeni mjini Dodoma.Picha na John Banda Baadhi ya watu wanaonekana wakikusanyia takataka za maganda ya miwa kwenye mtaro unakatisha katika soko la Miembeni mjini Dodoma hali ambayo ni hatari kwa mtaro huo kuziba na kusababisha maji ya mvua zinazokaria kuanza mjini humo kutwama.

Maji machafu ambayo yamekuwa...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO MUDA HUU

Maiti ya Mwanaume anayekadirikiwa kuwa na Umri kati ya miaka 25-35, imeokotwa asubuhi ya leo katika Mfereji wa Maji uliopo jirani na kiwanda cha kukoboa Kahawa (Coffee Curing), maeneo ya Majengo Fire, wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.  Baadhi ya wananchi wakishangaa maiti ya mwanaume huyo (haupo pichani) ambaye jina lake na wapi na chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana  Huu ndio mfereji ambako mwili wa mtu asiyejulikana ulikokutwa leo asubuhi Wananchi wakishiriki kuupakiza mwili huo...

 

10 years ago

CloudsFM

Malaria yamlaza Madee hospitali

Staa wa Bongo Fleva,Madee hivi karibuni alilazwa kwenye hospitali ya AAR iliyopo maeneo ya Sinza,jijini Dar baada ya kuugua ugonjwa wa Malaria.

Akizungumza na Clouds Fm,Madee alisema kuwa mwishoni mwa wiki hii alizidiwa sana na kukimbizwa hospitali alipopimwa aligundulika kuwa ana ugonjwa wa Malaria na kupumzishwa kwa muda katika hospitali hiyo. ‘’Yaah! Ni kweli nilikuwa naumwa sana ikabidi niende hospitali nikagundulika kuwa nina malaria daktari akashauri nipewe kitanda nikalazwa pale...

 

10 years ago

CloudsFM

MALARIA,TYPHOD YAMLAZA KALA JEREMIAH HOSPITALI

Rapa wa ngoma ya ‘’Usikate Tamaa’,Kala Jeremiah hivi karibuni alilazwa katika hospitali ya Arafa iliyopo maeneo ya Airport baada ya kuugua magonjwa ya malaria na typhod.‘’Yaah nilikuwa naumwa malaria na Typhod na nilikuwa naenda katika hospitali ya Arafa nilikuwa nikipatiwa matibabu na kupumzishwa lakini kwa sasa hivi naendelea vizuri’’ alisema Kala.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)

Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]

The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

GPL

PENDO WA MAISHA PLUS ATAMANI NDOA!

Na Brighton Masalu
MSHIRIKI wa Shindano la Maisha Plus Season 11 aliye pia msanii wa filamu za Kibongo, Upendo Mushi ‘Pendo wa Maisha Plus’ amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kuingia katika maisha ya ndoa licha ya mchumba wake kuchelewa kuchukua uamuzi huo. Upendo Mushi ‘Pendo wa Maisha Plus’. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni ndani ya Viwanja vya Leaders Club jijini Dar, Pendo ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani