Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malaria yamlaza Madee hospitali

Staa wa Bongo Fleva,Madee hivi karibuni alilazwa kwenye hospitali ya AAR iliyopo maeneo ya Sinza,jijini Dar baada ya kuugua ugonjwa wa Malaria.

Akizungumza na Clouds Fm,Madee alisema kuwa mwishoni mwa wiki hii alizidiwa sana na kukimbizwa hospitali alipopimwa aligundulika kuwa ana ugonjwa wa Malaria na kupumzishwa kwa muda katika hospitali hiyo. ‘’Yaah! Ni kweli nilikuwa naumwa sana ikabidi niende hospitali nikagundulika kuwa nina malaria daktari akashauri nipewe kitanda nikalazwa pale...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

MALARIA,TYPHOD YAMLAZA KALA JEREMIAH HOSPITALI

Rapa wa ngoma ya ‘’Usikate Tamaa’,Kala Jeremiah hivi karibuni alilazwa katika hospitali ya Arafa iliyopo maeneo ya Airport baada ya kuugua magonjwa ya malaria na typhod.‘’Yaah nilikuwa naumwa malaria na Typhod na nilikuwa naenda katika hospitali ya Arafa nilikuwa nikipatiwa matibabu na kupumzishwa lakini kwa sasa hivi naendelea vizuri’’ alisema Kala.

 

10 years ago

GPL

MAJI MACHAFU YAMLAZA PENDO KITANDANI

Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu na muziki wa taarabu Bongo, Upendo Mushi ‘Pendo’ yu kitandani baada ya kuugua ghafla kwa kile ambacho madaktari waligundua ni kunywa maji yasiyochemshwa. Msanii wa filamu na muziki wa taarabu Bongo, Upendo Mushi ‘Pendo. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, msanii huyo anayeishi Mwananyamala jijni Dar es Salaam, baada ya kupimwa na kukutwa na ugonjwa huo, alipatiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One

novartis

-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria

-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia

-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001

Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...

 

11 years ago

Michuzi

Malaria Course Ifakara 2014 (English) Capacity Building Course in Malaria Control Programs, with a focus on e-learning September 14th to October 11th 2014

Organised jointly by the Tanzanian Training Centre for International Health, Ifakara, Tanzania, and the Swiss Tropical and Public Health Institute with the financial support of the Impact malaria, a Sanofi Access to Medicines program and the Swiss Agency for Development and Cooperation, the Malaria course is a tutorial that is aimed at strengthening competence of researchers, public health personnel and care givers to fight Malaria in Africa. Participants are taught how to conduct...

 

10 years ago

Michuzi

WORLD MALARIA DAY 2015 - SHARE YOUR PLANS TO COMMEMORATE WORLD MALARIA DAY !!

cid:image007.jpg@01D06C9B.DB110200
World Malaria Day 2015:Invest in the Future, Defeat Malaria
The World Malaria Day theme provides a common platform for all malaria partners to showcase their successes in malaria control and unify diverse initiatives in the changing global context. Malaria-endemic countries have made incredible gains in malaria in the last decade, but sustaining them will take extra efforts until the job is finished and malaria is eliminated worldwide. The theme for 2015 is Invest in the future, Defeat...

 

5 years ago

Michuzi

WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI

 Baadhi ya picha za wauguzi katika maadhimisho ya Siku ya wauguzi Duniani .
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya wametoa zawadi  ya Cherehani ikiwa ni kuadhimisha siku ya  wauguzi Duniani.

Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya,  leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani  yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.

Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa  Chama cha...

 

10 years ago

Michuzi

MBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME

Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Kuni na kulakiwa na wananchi katika jimbo hilo.Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria shighuli ya makabidhiano iliyofanyika katika uwanja wa Kuni ,Bomang'ombe wilayani Hai.Wananchi wakiwa wamezingira magari hayo wakiyatizama kwa karibu.Mbunge wa jimbo la Hai ,akiuzungumza juu ya msaada huo kwa watu wa jimbo la Hai.Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akikabidhi nyaraka mbalimbali za...

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani