KERO YA MAJI MACHAFU MTAA WA NZASA ZAMANI UMOJA STREET MWENGE
Huu si Mto lakini ni Maji Machafu ambayo yamefumuka kwenye Chemba baada ya Mvua kunyesha Katika mtaa wa Nzasa zamani Umoja Street Mwenge ambao pia unajulikana kama mtaa wa Kinyesi
Haya ni maji machafu ambayo yanatoka katika Chemba za maji taka ambapo yanapita kando ya makazi ya watu na kusababisha Kero ya Harufu mbaya na wasiwasi wa Mlipuko wa Magonjwa.
Hii ni Moja ya Chemba ikiwa inafuka Maji Machafu ambayo yamejitengenezea Njia katika Makazi ya watu
Na hii pia ni Chemba ambayo imefumuka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLCHEMBA ITIRIRISHAYO MAJI MACHAFU BARABARANI MWENGE
10 years ago
GPLMAJI TAKA, BARABARA MBOVU NI KERO KWA WAKAZI WA MWENGE DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoaYF5iwi91*fFWtXRyu8Sa9mK3lBOxWNL9QZDVYyfCHmUWZdVbZQBiYQJC-qYTlvLvFBtkRTyNHu1jt2aTh0J78/pendo.jpg)
MAJI MACHAFU YAMLAZA PENDO KITANDANI
10 years ago
CloudsFM08 Dec
MTOTO AOPOLEWA KWENYE DIMBWI LA MAJI MACHAFU
Mtoto mwenye umri ya miaka 5 afariki dunia kwenye dimbwi la maji machafu karibu na mtaa wa stendi ya mabasi Mafinga, wilayani Mufindi mkoani Iringa.
Mtoto huyo alipotea nyumbani takribani siku 3 zimepita ambapo mama mzazi alitoa taarifa jeshi la polisi liweze kumsaidia lakini juhudi hizo haikuzaa matunda ambapo hii leo amekutwa kwenye dimbwi la maji hayo.
9 years ago
VijimamboUCHAFU WA MAGANDA YA MIWA WAZIBA MTARO WA MAJI MACHAFU SOKO LA MIEMBENI MJINI DODOMA
Maji machafu ambayo yamekuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CMEB8iSUXqI/VF-rVPJwBYI/AAAAAAAGwRc/2HTadSxjC04/s72-c/IMG_1280.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s72-c/IMG-20141019-WA0006.jpg)
NEWS ALERT: MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO MUDA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s1600/IMG-20141019-WA0006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kQaROm3WVhA/VENiP3PKRhI/AAAAAAAAOjY/5nZuLpIjRZc/s1600/IMG-20141019-WA0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YuGzhkVBckM/VENiUWVZJXI/AAAAAAAAOjw/sFdV56-EUNM/s1600/IMG-20141019-WA0009.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jpGrIUAgCOo/VENwGcLI67I/AAAAAAAAOnk/6w2U9MByyoY/s1600/IMG-20141019-WA0012.jpg)
10 years ago
GPLUONGOZI WA UMOJA WA WENYEVITI SERIKALI ZA MTAA KUONANA NA RAIS KIKWETE