PENDO MAISHA PLUS ‘ADATA’ MSIBANI
Stori: Gladness Mallya STAA wa Shindano la Maisha Plus ambaye sasa ni muigizaji, Upendo Mushi ‘Pendo’ ameshindwa kuzuia hisia zake za kimapendo na kufunguka kuwa anampenda sana mwimbaji Kalala Junior. Staa wa Shindano la Maisha Plus ambaye sasa ni muigizaji, Upendo Mushi ‘Pendo’ Akitema stori mbili tatu na paparazi wetu katika msiba wa dairekta George Tyson baada ya kumuona Kalala kwa mbali, Pendo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLPENDO WA MAISHA PLUS ATAMANI NDOA!
9 years ago
Bongo515 Dec
Wema Sepetu adata na wimbo mpya wa Diamond (Video)
Ameachana na Diamond lakini Wema Sepetu bado ni shabiki mkubwa wa nyimbo za ex wako huyo.
Malkia huyo wa filamu, amedhihirisha kuwa hana kinyongo na Diamond baada ya kuonekana akiimba wimbo mpya wa msanii huyo, Utanipenda!
Muigizaji huyo aliwahi kunukuliwa akisema ingawa ameachana na Diamond bado ataendelea kupenda muziki wake.
Video yake inayomuonesha akiuimba wimbo huu ilisambaa kutoka kwenye mtandao wa Snapchat.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
10 years ago
Habarileo26 Feb
Hoteli yahusishwa utekaji wa albino Pendo
MTOTO Pendo Emmanuel (4) mwenye ulemavu wa ngozi, aliyetekwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwao wilayani Kwimba, imegundulika alihifadhiwa katika hoteli moja ya kifahari jijini Mwanza, kabla ya kukabidhiwa kwa watu wengine, walioondoka naye kusikojulikana.
10 years ago
GPLMAJI MACHAFU YAMLAZA PENDO KITANDANI
10 years ago
GPLMWANAUME NDIYE MWENYE NAFASI YA KULINDA PENDO!
10 years ago
Vijimambo9 years ago
GPLTIMBWILI MSIBANI
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Obama atikisa msibani
11 years ago
Habarileo30 Jun
Sakata la mahari msibani
BAADA ya vuta nikuvute iliyosababisha uhasama mkubwa baina ya familia mbili mjini hapa wakigombea kuuzika mwili wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, hatimaye familia ya baba mzazi wa marehemu imekubali ‘yaishe “ na kuruhusu familia ya mama mzazi kumzika mtoto huyo.