Wema Sepetu adata na wimbo mpya wa Diamond (Video)
Ameachana na Diamond lakini Wema Sepetu bado ni shabiki mkubwa wa nyimbo za ex wako huyo.
Malkia huyo wa filamu, amedhihirisha kuwa hana kinyongo na Diamond baada ya kuonekana akiimba wimbo mpya wa msanii huyo, Utanipenda!
Muigizaji huyo aliwahi kunukuliwa akisema ingawa ameachana na Diamond bado ataendelea kupenda muziki wake.
Video yake inayomuonesha akiuimba wimbo huu ilisambaa kutoka kwenye mtandao wa Snapchat.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Wimbo wa “Ntampata Wapi”, Diamond Hakuniimbia Mimi- Wema Sepetu
Mrembo na staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ametoboa kuwa wimbo wa “Ntampata Wapi” ulioimbwa na aliekuwa mpezi wake, Diamond Platnumz hakuimbiwa yeye, hii ni kutokana na watu wengi kudhani kuwa wimbo huu alitungiwa yeye ukizingatia kuwa wakati wimbo huo unatoka ndio kilikuwa kipindi wametoka kuachana.
“Leo nasema rasmi kuwa hii nyimbo hakuniandikia mimi….because nilikuwa naisikia hii nyimbo hata wakati tulipokuwa kwenye uhusiano amekuwa akiimba, akiindika kwahiyo ilikuwa tu ni moja ya...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram
Dec 27 mashabiki wa Diamond Platnumz walipost video ya msanii wa Bongo Movies, Wema Sepetu katika mtandao wa instagam ambayo ikionesha akiimba wimbo wa Diamond uitwao ‘Utanipenda’. Baada ya kusambaa kwa video hiyo yenye dakika 15 Wema akuchukua muda kuwajibu mashabiki hao na kuandika’Mwenzangu niache na kisauti changu ila swali la kizushi kwa hao wanaojiita […]
The post Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram appeared first on...
9 years ago
Bongo504 Jan
Wema Sepetu: Sitafuti kiki kupitia nyimbo za Diamond (Video)
![10570140_331847836939369_2031665733_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/10570140_331847836939369_2031665733_n-300x194.jpg)
Wema Sepetu ameachana na Diamond Platnumz na kujikuta wakiwa kama paka na panya lakini inaonekana kuwa mrembo huyo ameshindwa kujizuia kuacha kuufurahia muziki wa staa huyo wa Nana.
Wiki chache zilizopita, video inayomuonesha Wema akiwa na Aunty Ezekiel wakiimba wimbo wa Diamond, Utanipenda ilisambaa mtandaoni baada ya kuipost kwenye Snapchat.
Na sasa Wema amerejea tena na wimbo mwingine wa ex wake huyo, Mdogo Mdogo. Awamu hii wimbo huo unasikika ukipigwa kwenye redio ya salon aliyokuwa...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Full Interview ya Diamond Platnumz: Kwanini hakutokea White party Uganda, video ya Wema Sepetu, scene iliyomuhuzunisha na mengine
Ni Interview ambayo mwimbaji Diamond Platnumz alihojiwa CloudsFM kwenye LeoTENA December 22 2015 ambapo ndani yake alizungumzia kutokutokea kwenye show ya Zari All White Party Uganda, video ya Wema Sepetu iliyosambaa akiimba wimbo wa Diamond na mengine mengi. Ukibonyeza play kwenye hii video hapa chini utasikia yote aliyosema Diamond ikiwemo ya Mama yake alivyoigiza kwenye […]
The post Full Interview ya Diamond Platnumz: Kwanini hakutokea White party Uganda, video ya Wema Sepetu, scene...
10 years ago
Vijimambo20 Nov
9 years ago
Bongo518 Nov
Video: Diamond atease wimbo mpya wa Tekno wa Nigeria, je ni collabo?
![tekno-miles-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tekno-miles-1-300x194.jpg)
Mkali wa ‘Duro’ Tekno Miles kutoka Nigeria anatarajia kuachia wimbo mpya wiki ijayo, baada ya kufanya vizuri na single ya ‘Duro’ ambayo imeshika chati mbalimbali za Afrika.
Mshindi wa tuzo 3 za Afrima 2015, Diamond ambaye yuko Nigeria alikoenda kwenye tuzo hizo, amewaonjesha mashabiki kupitia akaunti yake ya Instagram kionjo cha wimbo huo. Platnumz amepost video aliyojirekodi akiwa na Tekno kwenye gari yake wakisikiliza wimbo huo huku Tekno akiimba.
“Forget About DURO… we are about to...
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...