Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege ya rais yahusishwa na wizi

Inadaiwa kuwa wanunuzi,walinunua maelfu ya kilo za pembe za ndovu nchini Tanzania na kuzitorosha kutumia ndege ya rais wa china

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NDEGE YA RAIS WA CHINA YAHUSISHWA NA WIZI WA PEMBE YA NDOVU

Rais wa nchi ya China, Xi Jinping akiwapa mkono wananchi wa Tanzania. Inadaiwa kuwa wanunuzi, raia wa Uchina walinunua maelfu ya kilo za pembe za ndovu nchini Tanzania na kuzitorosha kutoka nchini humo katika ndege ya kibinafsi ya raia wa Uchina Xi Jinping wakati alipozuru bara Afrika.Kulingana na shirika la ujasusi la mazingira lililo na makao yake mjini London. Ndege ya rais wa China. Pembe hizo zilinunuliwa wiki… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Wizi wa fedha viwanja vya ndege na jicho la kiteknolojia

Hivi karibuni, nchini Chile kulitokea wizi wa Dola za Marekani milioni saba katika uwanja wa ndege mmoja. Ni fedha zilizokuwa zikisafirishwa kwa ajili malipo ya kampuni fulani za Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Bodi ya Ligi yahusishwa

LIGIKUUNA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ikulu ya Tanzania yahusishwa na Escrow

Prosper Mbena aliandika barua ili kushinikiza hatua ya kutolewa kwa billioni 306 fedha za Escrow kutoka banki kuu ya Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yahusishwa na watekaji S Kusini

UN inasema kuwa vijana wa kiume waliotekwa nchini Sudan Kusini huenda walichukuliwia na wapiganaji wenye uhusiano na serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yahusishwa na uvamizi A. Kusini

Afrika Kusini imewahusisha wanadiplomasia 3 wa Rwanda waliofurushwa kutoka nchini humo na njama ya mauaji ya wapinzani wa Kagame wanaoishi Afrika Kusini.

 

9 years ago

Vijimambo

POMBE YAHUSISHWA, AJALI MBAYA YA BODABODA

Kasendeka, mhanga wa ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda.  Kijana Kasendeka ambaye alipata ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda eneo ilipo Club Royal karibu na lango kuu la kuingilia Chuo Cha Utumishi cha Tabora zamani kikifaahamika kama UHAZILI.Kamera ya mtandao huu imelimulika tukio baya la ajari iliyohusisha pikipiki mbili eneo la Club Royal karibu na lango la kuingilia chuo cha Utumishi wa Umma cha Tabora zamani UHAZILI.Mfuatiliaji wa tukio alibainisha dereva mmoja alikuwa anatokwa na harufu ya pombe kitu kilichodhihirisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani