yale yaleeeeee: wizi katika mizigo ya abiria uwanja wa ndege huko majuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA KILIMANJARO
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA (KIA)
11 years ago
MichuziYALE YALEEEEEE.......
Leo katika pita pita zangu,nilibahatika kupita Barabara ya Nyerere mbele ya Mataa ya Tazara,nililikuta Gari hili lililazimishwa kugeuzwa katika sehemu ambayo si salama na wala hairuhusu kufanyika hivyo,kwani pia gari hilo lilikuwa linakanyaga sehemu ya baraza la kati lilalotenganisha upande mmoja na mwingine wa barabara.
Nilimshangazwa sana na yule Jamaa ambaye inaonekana dhahiri kuwa aliona uvivu au ugumu wa kwenda kwenye kona inayomhusu ili akate kulia na ageuze Lori...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s72-c/004.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s640/004.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xriZCSzSJiE/U6MoyfSGo2I/AAAAAAAFrzw/y4QXnjtmNBo/s72-c/a9148a8bf1293e7ea1d6c2062cdc4b2a.jpg)
yale yaleeeeee - waziri magufuli anapotafutwa ubaya...
![](http://1.bp.blogspot.com/-xriZCSzSJiE/U6MoyfSGo2I/AAAAAAAFrzw/y4QXnjtmNBo/s1600/a9148a8bf1293e7ea1d6c2062cdc4b2a.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6EdaYeX8W9A/U6Mo5elowuI/AAAAAAAFrz4/QJ_X6GCu_ZY/s1600/unnamed+(29).jpg)
5 years ago
MichuziNDITIYE AZINDUA SAFARI ZA NDEGE ZA MIZIGO UWANJA WA KIA
KADCO yajenga chumba cha barafu chenye uwezo wa kubeba tani 110
Na Prisca Ulomi, WUUM, KIA
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye amezindua safari za ndege za mizigo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya kuwawezesha wafanyabiashara, wakulima wa mazao, matunda na mboga mboga wa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Manyara na mikoa ya jirani kutumia usafiri huo kusafirisha mizigo yao kwenda nje ya nchi ya Tanzania
Nditiye amesema kuwa uzinduzi wa...
11 years ago
MichuziYale yaleeeeee: Eh, wazee wa chuma chakavu mtatuulia magari jamani....
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania