Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


yale yaleeeeee - waziri magufuli anapotafutwa ubaya...

 Semi-Trela likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea  kwa uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam leo. Haikuweza kufahamika mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani au la. Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli ana kazi ya ziada kuhakikisha uzembe kama huu hautokei na haujirudii. 

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YALE YALE: WAZIRI MAGUFULI ANAPOTAFUTWA UBAYA....

Semi-Trela likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea  kwa uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam jana jioni. Haikuweza kufahamika mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani  wa tani 7 tu au ni kiburi tu.  Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli ...

 

11 years ago

Michuzi

YALE YALEEEEEE.......

Ankal salamaaaa? 
Leo katika pita pita zangu,nilibahatika kupita Barabara ya Nyerere mbele ya Mataa ya Tazara,nililikuta Gari hili lililazimishwa kugeuzwa katika sehemu ambayo si salama na wala hairuhusu kufanyika hivyo,kwani pia gari hilo lilikuwa linakanyaga sehemu ya baraza la kati lilalotenganisha upande mmoja na mwingine wa barabara.
Nilimshangazwa sana na yule Jamaa ambaye inaonekana dhahiri kuwa aliona uvivu au ugumu wa kwenda kwenye kona inayomhusu ili akate kulia na ageuze Lori...

 

11 years ago

Michuzi

Yale yaleeeeee: Eh, wazee wa chuma chakavu mtatuulia magari jamani....

 "Ohoooooo.... Gari langu maskini...." Dereva wa teksi anatoka nje kuangalia jinsi gari lake lilivyoingia kwenye chemba ya maji machafu ambayo mfuniko wame umeeshaenda kusikojulikana na kuacha shimo kubwa katikati ya barabara ya Mtaa wa Zanaki jijini Dar es salaam leo  Wasamaria wema wanasogea kuja kumuokoa  "Hayaaaa....twendeeeeee" Gari linatoka  Anapiga rivasi taratibu huku mshimo ukiwa umeachama   Anaondoka taratibu huku akisikitika na kujiuliza nini kifanyike kuondoa adha hii...

 

9 years ago

Mtanzania

Octopizzo: Sitajibu ubaya kwa ubaya

octoMSANII wa Kenya, Octopizzo amesema hatorekodi wimbo wa kuponda wabaya wake kwa kuwa kuendeleza ubaya kwa ubaya ni kupoteza muda bure.

Mwana hip hop huyo wa Kenya alikuwa katika majibizano makali na wasanii wenzake wa hip hop nchini humo; King Kaka, Jones, Khaligraph na Juliani.

Katika mahojiano na redio USIU ya nchini humo, alisema anapotaka kusaka mkwanja ataendelea kuusaka na hatotumia muda wake kujibizana.

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli

Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2015, kuna watu wanachanganya mambo.Ushabiki unakuwa mkubwa na wakati mwingine watu wanaacha kabisa kufikiri. Ni vyema ufafanuzi ukafanyika, ili twende sawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani