Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YALE YALEEEEEE.......

Ankal salamaaaa? 
Leo katika pita pita zangu,nilibahatika kupita Barabara ya Nyerere mbele ya Mataa ya Tazara,nililikuta Gari hili lililazimishwa kugeuzwa katika sehemu ambayo si salama na wala hairuhusu kufanyika hivyo,kwani pia gari hilo lilikuwa linakanyaga sehemu ya baraza la kati lilalotenganisha upande mmoja na mwingine wa barabara.
Nilimshangazwa sana na yule Jamaa ambaye inaonekana dhahiri kuwa aliona uvivu au ugumu wa kwenda kwenye kona inayomhusu ili akate kulia na ageuze Lori...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

yale yaleeeeee - waziri magufuli anapotafutwa ubaya...

 Semi-Trela likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea  kwa uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam leo. Haikuweza kufahamika mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani au la. Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli ana kazi ya ziada kuhakikisha uzembe kama huu hautokei na haujirudii. 

 

11 years ago

Michuzi

Yale yaleeeeee: Eh, wazee wa chuma chakavu mtatuulia magari jamani....

 "Ohoooooo.... Gari langu maskini...." Dereva wa teksi anatoka nje kuangalia jinsi gari lake lilivyoingia kwenye chemba ya maji machafu ambayo mfuniko wame umeeshaenda kusikojulikana na kuacha shimo kubwa katikati ya barabara ya Mtaa wa Zanaki jijini Dar es salaam leo  Wasamaria wema wanasogea kuja kumuokoa  "Hayaaaa....twendeeeeee" Gari linatoka  Anapiga rivasi taratibu huku mshimo ukiwa umeachama   Anaondoka taratibu huku akisikitika na kujiuliza nini kifanyike kuondoa adha hii...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

YALE YALE: WAZIRI MAGUFULI ANAPOTAFUTWA UBAYA....

Semi-Trela likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea  kwa uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam jana jioni. Haikuweza kufahamika mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani  wa tani 7 tu au ni kiburi tu.  Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli ...

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yale yale, Zanzibar wafanya fujo

Nairobi.Ndoto ya Kilimanjaro Stars kumaliza katika nafasi ya tatu iliyayuka baada ya kufungwa kwa penalti 6-5 na Zambia, huku wachezaji wa Zanzibar wakifanya fujo kambini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani