YALE YALEEEEEE.......
Ankal salamaaaa?
Leo katika pita pita zangu,nilibahatika kupita Barabara ya Nyerere mbele ya Mataa ya Tazara,nililikuta Gari hili lililazimishwa kugeuzwa katika sehemu ambayo si salama na wala hairuhusu kufanyika hivyo,kwani pia gari hilo lilikuwa linakanyaga sehemu ya baraza la kati lilalotenganisha upande mmoja na mwingine wa barabara.
Nilimshangazwa sana na yule Jamaa ambaye inaonekana dhahiri kuwa aliona uvivu au ugumu wa kwenda kwenye kona inayomhusu ili akate kulia na ageuze Lori...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
yale yaleeeeee - waziri magufuli anapotafutwa ubaya...

.jpg)
11 years ago
MichuziYale yaleeeeee: Eh, wazee wa chuma chakavu mtatuulia magari jamani....
10 years ago
Michuzi10 Dec
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Michuzi09 Apr
10 years ago
Michuzi23 Dec
11 years ago
GPL
YALE YALE: WAZIRI MAGUFULI ANAPOTAFUTWA UBAYA....
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Stars yale yale, Zanzibar wafanya fujo